SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Vipi hukuchukua number yake?? Alikuwa analipa lakini?
Nilihisi yule dada alivutiwa na na mimi tu kwani she was so natural n sexy,alikuwa msafi kwelikweli kanyoa fresh mashine imeumuka,,,halafu kila nilipokuwa naongea yeye alijukua anacheka tu,kwa kwelivjapo kilikuwa ni kipindi kifupi lakini aliniambiambia nimemsahaulisha madhila ya safari.
Trust me tulicheza peku peku dakika zote 90+ extra time.
 
Seriously fact ni kwamba Wanaume walio wengi hawawezi kuwa na mwanamke mmoja wengi wanashindwa kuzizuia tamaa zao za mwili kila waonapo mwanamke anaewavutia machoni pao na ni kitu ambacho mwanamke unatakiwa ukubaliane nacho hata kama hutokipenda na hii ni kwa faida yako binafsi na moyo wako.

Unachotakiwa kujali ni heshima ya mumeo kwako mahitaji muhimu ya familia na vipi anakupa priority kama namba moja wake kama unayapata hayo huna haja ya kuzijuia nyendo zake kama anachepuka au laah.

Mwisho jikite zaidi katika kushirikiana kufanya maendeleo ya kujenga familia yenu na usichoke kumsisitiza mumeo ajilinde kiafya kwa maslahi yenu wote wawili.
 
Mara nyingine michepuko huwa inazuka tu hata kama unachunga maadili ya ndoa yako.

Mwaka alfu nbili na moja nilikuwa natoka Arusha town nilipofika kwenye mlima gihandu nikakuta basi limeharibika nikasimama na kujaribu kutoa msaada.

Kulikuwa na abiria wengi kwelikweli wamezagaa chini ya miti,yule dereva wa basi akaniomba niwasaidie wazee na kina mama

Nikachagua kina mama wagonjwa wawili na mzee mmoja nilipoanza kuondoka yuko kijana mmoja akanipiga mkono na kuniomba nimsaidie dada yake angalao afike singida .

Nikasema kama ana nauli akasema anayo,nikatambaa hadi singida nikawashusha wale wazee ila yule dada akawa katulia tulii akanuomba nimtafutie nyumba ya kulala wageni ili ajilumzishe kiasi anasubiria lile basi nikasema poa.

Nikampeleka guest moja njia iendayo kititimo nikamwambia hapo itakuwa rahisi kuliona basi likipita.
Kabla sijaondoka yule dada akaniita na kuniambia nimesahau kuchukua nauli nikamjibu usijali.

Akaniambia tunwe japo soda nikakubali japokuwa nilikuwa nina safari ndefu ya Ñgara.

Trust me aliniomba nikaoge kwani kwakweli nilikuwa nimechakaa na vumbi nikakubali.
Kilichofuatia hapo ilikuwa ni balaa yule dada alikuwa mtundu sana kitandani sijawahi kupewa mashine tamu kiasi hicho ilinibidi nilale alfajiri akaniamsha na akanipa tena mara mlinzi wa guest akatugongea na kusema basi limepita kuelekea stendi.nikampeleka na namimi kakanyoosha goti sitousahau utundu wa bibie yule.
Hehehehe ulikamatika
 
Tunachrpuka kwa sababu mfano mke wangu ananinyima k yake kwa kutoa sababu nyingi mara nimechoka, mara cjickii. Hapo kwa nn nisiwaze kuchepuka?
 
Hehehehe ulikamatika
Mimi huwa najiepusha sana na michepuko ila trust me yule dada nae sijui aliingiwa na nini mpaka kuniamini nizame mzima mzima tungeendelea kidogo na uhusiano ningeweza kuoa bila ajizi,mama watoto wangu huwa ni nadra kunimaliza hamu lakini siku hio nilii ishiba mashine hata tumaralia malaria hatukunisumbua kwa muda.
 
Mimi huwa najiepusha sana na michepuko ila trust me yule dada nae sijui aliingiwa na nini mpaka kuniamini nizame mzima mzima tungeendelea kidogo na uhusiano ningeweza kuoa bila ajizi,mama watoto wangu huwa ni nadra kunimaliza hamu lakini siku hio nilii ishiba mashine hata tumaralia malaria hatukunisumbua kwa muda.
Hahahha haya mkuu hongera na pole
 
Tatzo kubwa mwanamke ukishamuoa ukimwambia nipe staili ya popo hataki anasema ameshakuwa Mkubwa Sasa ayo mambo ndo yanatufanya tuchepuke
 
Hahahha haya mkuu hongera na pole
Sijawahi kupata hot and wet sex kama siku hio kitanda ndio kilitaka kuleta tafrani kwa kelele tukashusha godoro chini halfu akaja juu yangdu (cowgirl) uongo mbaya alinilowanisha huku mimi nikinyonya thick lips,mke wangu in million years hawezi kuwa mtundu kiasi hicho.
 
Sijawahi kupato hot and wet sex kama siku hio kitanda ndio kilitaka kuleta tafrani kwa kelele tukashusha godoro chini halfu akaja juu yangdu (cowgirl) uongo mbaya alinilowanisha huku mimi nikinyona thick lips,mke wangu in million years hawezi kuwa mtundu kiasi hicho.
Mfundishe mkuu inawezekana jamani. Naona hyo papuch unaitamani hata kesho,hukuchukua contacts kweli
 
Mfundishe mkuu inawezekana jamani. Naona hyo papuch unaitamani hata kesho,hukuchukua contacts kweli
Mimi sio mtu wa michepuko sana haswa baada ya kuoa,nilikuwa najiepusha sana michepuko ila ile niliichukulia kama one night stand,sikulielewa lengo la yule binti labda alikuwa kwenye danger zone alipendelea mbegu labda alikuwa anahitani mtoto idont know.
 
Mimi sio mtu wa michepuko sana haswa baada ya kuoa,nilikuwa najiepusha sana michepuko ila ile niliichukulia kama one night stand,sikulielewa lengo la yule binti labda alikuwa kwenye danger zone alipendelea mbegu labda alikuwa anahitani mtoto idont know.
Ulikumbuka kinga kweli
 
Ulikumbuka kinga kweli
Mashine kama ile kinga ya nini kwanza ilikuwa inateleza yeye mwenyewe alinihakimishia kuwa sio mtu wa kugawa gawa cha ajabu pale chumbani kulikuwa na conds nilikuwa najizuia mashine yake isikauke utelezi ili tusichubuane ila kwa upande wake yeye alikuwa hanitambui.
 
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.
usihangaike ww mwanaume hana dhambi ya uzinzi..na ili awe kamili lazima achepuke kikubwa awe anajua rules mkewe asijue...
 
Hata akimuoa bado atatamani wa nje pia. Kwahyo kuoa siyo suluhisho. Kwani utaoa wote utaotamani!?
Mwanaume akishaoa mke wa pili ni nadra sana kuchepuka, na umri wake unakuwa umeenda labda kawa mtu mzima na majukumu yameongezeka
 
Mashine kama ile kinga ya nini kwanza ilikuwa inateleza yeye mwenyewe alinihakimishia kuwa sio mtu wa kugawa gawa cha ajabu pale chumbani kulikuwa na conds nilikuwa najizuia mashine yake isikauke utelezi ili tusichubuane ila kwa upande wake yeye alikuwa hanitambui.
Hatari hiii[emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom