Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wallah vile. Tena akijua unasema unasema hacheat anakucheja hatarii [emoji23][emoji23][emoji23]Tena bora unyamaze maana siku ukijua hutaamini na macho yako ww shukuru hujaona wala kusikia.
Ni concubine! (hawara, Mke asiye halali)Masuria ni nini hivi?
Baelezee ukweli ukiona mumeo hachepuki kunashida eidha domo lege,mbahili..ila mimi simo humoo [emoji1] [emoji1]Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Mpe mzuuti akichepuka basi huyo ni suguKifupi wanaume huwa hawaridhiki?
Hahahahaaaa mkuu nimependa ulivyoliita Jogoo zinifu. Vipi linaporudi huwa linaruka ukuta au unalifungulia geti?Juzi kati hapa nilianza ufugaji wa kuku just for leisure na sio wa biashara; nilianza hivi; nilimtembelea jamaa yangu ambaye tuliachana nae miaka mingi sana na nilikwenda na wife, jamaa alinikutanisha na mkewe na wanae then wakati ninaaga back to home, kijana wake alitumwa na mama yake anikamatie kuku/jogoo wife wangu akalipokea, tukiwa njiani back to home tukawa tunajadiri na wife nini cha kumfanya huyo jogoo tuliopewa, wife akasema yeye anataka amfuge; nikashangaa, how ufuge jogoo!? Akasema ye anataka kumfuga tu, jogoo lile lilika halitulii nyumbani aise, kila siku linaruka ukuta, binti yangu wa kazi siku moja nikamsikia anasema, "hili jogoo hua linakwenda kutafuta majike huko nje". Well, nikaona isiwe tabu, ngoja ninunue jike, soon jike lile likaanza kutaga, mwezi mmoja baadae nikanunua jike linguine kwa lengo la kumla, nikashangaa wife akamchanganya kulekule bandani, jike huyu hakukawia kutaga, ameisha taga zaidi ya awamu tatu sasa, majike yapo kadhaa na majogoo 2; ambacho sielewi, lile jogoo "zinifu" pamoja na kuliletea majike kadhaa bado halijaacha kuruka ukuta na kwenda nje na bandani kipo chakula cha kutosha kabisa. Ninacho lipendea jogoo lile ni hiki, hata liende wapi bado jioni/usiku ukifika lazima lirudi nyumbani, halina historia ya kulala nje.
upo vizuri aliyekuoa ana raha sanaNi ngum sana kuacha kuchepuka
Wengine ni hulka tu, wengine wanaiga, wengine anachepuka tu kutokana na madhila ya wewe kama mkewe unayomfanyia
Wasiochepuka ni wachache sana
Kama mwanaume anakutimizia mahitaji yako yote haina haja kuhangaika naye muhim kumkumbusha tu awe makini na mambo yote
Ndio mana hata sisi upande wetu umehalalisha kuoana wake wanne mwisho na vizur mtu kjanza na wawili unadhani kwa sababu gani???
kwa nini? Asanteeupo vizuri aliyekuoa ana raha sana
maana unaonekana una uelewa wa mambo kuhusu wanaumekwa nini? Asantee
mhhh hapana sijafikia uwezo huo najitahidia sasa hivimaana unaonekana una uelewa wa mambo kuhusu wanaume
Kama geti limefungwa, wala halinaga time ya kuruka UKUTA, kwa ufupi, wakati wa kurudi home, linapitia getini, tofauti na linapo taka kutoka nje ya ndoa yakeHahahahaaaa mkuu nimependa ulivyoliita Jogoo zinifu. Vipi linaporudi huwa linaruka ukuta au unalifungulia geti?
Kuna za moto na baridi, kuna nene na ambayo mashavu ni slim, kuna yenye clit kubwa na ndogo, kuna ambaye anajua kuifinyia kwa ndani na gogo, kuna inayonuka na isiyonuka etc.Mnakosa nn ndani ya ndoa papuyeee hizo hizo tu