Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhahaha tego kwahiyo wanaume lazima mchepuke si ndio?That is nature,,,,Mkuu. Kwa hiyo siyo wao bali ni asili yao ndiyo maana. Kuloga ni uamuzi wako tu,,,dawa ziko nyingi sana. Kuna tego pia ingawa hiyo ni hatari sana kwa 7bu inapurura ukoo mzima.
Swali gumu, mana unaweza ukapewa vyote unavyotaka na bado ukachepuka, wanawake ni kama maua ndani umeweka uwaridi ukienda nje unaona ua jingine la njano unataka ulinuse usikie linanukiaje.Nataka nikuulize ukipewa nn utaacha kuchepuka
Anzeni kwanza kuturuhusu kuoa huo mchepuko mmoja, baada ya hapo mtufanyie assessment kama tumeweza kutulizana.Akioa unakuta bado anachepuka ndo nataka nijue wanataka nn?
Ni asili tu hiyo,,,,hakuna jipya huko. Kwa sababu kila kitu kipo ndani ya fikra (mentality) za mwanaume mwenywe. It's just feeling. Hata anachohisi (ladha) mwanaume wakati wa tendo lenyewe kipo ndani ya akili ya mwanaume.Ahhahaha tego kwahiyo wanaume lazima mchepuke si ndio?
Mnafata nn huko ingali ndani kuna mke
Nataka nikuulize ukipewa nn utaacha kuchepuka
Asante. Wewe ni genius.Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
unafikiria kuchepuka ni hela......hela inaongeza hamasa tuu.....ni kijitabia kilichokomaa kwa wanaume....mtusamehe tu jamani ndoa idumu....huwa hatupendi kabisa.......ila huyu athumani kichwa wazi.....akiamua yake....unakesha na mkeo,,,,ila ukiamka asubuhi unapitia mchepuko kwanza ndio waenda job......Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
He he!!!!Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Hii elimu ni ya kilingeni kutoka kwa Mr superspot au??Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Aah wapi, mnataka tuingie kingi baadaye mtuvizie na maji ya motoMama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Sawa sawa..Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Kifupi wanaume huwa hawaridhiki?Ni ngum sana kuacha kuchepuka
Wengine ni hulka tu, wengine wanaiga, wengine anachepuka tu kutokana na madhila ya wewe kama mkewe unayomfanyia
Wasiochepuka ni wachache sana
Kama mwanaume anakutimizia mahitaji yako yote haina haja kuhangaika naye muhim kumkumbusha tu awe makini na mambo yote
Ndio mana hata sisi upande wetu umehalalisha kuoana wake wanne mwisho na vizur mtu kjanza na wawili unadhani kwa sababu gani???