SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.
Tobaah duh mola aepushe hali za kinamna hii
 
Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Aiseeeee kwahiyo wanaume huwa hawaridhiki kabisaa
 
Nataka nikuulize ukipewa nn utaacha kuchepuka
mwanaume asiyechepuka haishiwi gumu na mwenzi wake, kuchepuka kunapunguza misuguano ya ndoa isiyo na tija. tupeni kibali cha kuchepuka
 
Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Kuhusu pesa kuna wasiokua nazo ila hakosi kuchepuka
 
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.
Wanawake mtakapoacha kujirahisisha na kuwa bidhaa rahisi kupatikana ndipo wanaume nao wataacha kuchepuka. Wanaume wanachepuka sababu ni rahisi sana kumpata mwanamke kuliko kupiga chafya. Wanawake mmekuwa bidhaa rahisi kama machungwa ya Muheza, badilikeni, jitunzeni, itunzeni miili yenu, vikojoleo vyenu viwe ni nadra sana kutumika hapo mtaona thamani ya ndoa na heshima ya wanaume.

Sasa hivi wanawake hamheshimiki tena katika jamii maana mnachezewa kuanzia "vikojoleo" vyenu mpaka "vinyeo" na kisha mnaachwa, anatafutwa mjinga mjinga mwingine na yeye anachezewa vile vile. Mkuu Demiss mchawi wa wanawake ni tabia zenu wenyewe za kujirahisi, ikimbieni Zinaa na wanaume nao watatulia!

Soma huu uzi hapa;
Wanawake acheni kulaumu wanaume wakati tatizo ni ninyi wenyewe
 
Back
Top Bottom