mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Tukipewa hofu ya MunguNataka nikuulize ukipewa nn utaacha kuchepuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukipewa hofu ya MunguNataka nikuulize ukipewa nn utaacha kuchepuka
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mburaaaaaaaaaah nimecheka kifaaaaaalaaaaSasa hivi nikiona kitambaa kipya akimaliza kufuta tu naidaka na kwenda kuloweka mwenyewe kwenye beseni na kuifua.
Michhhh uuuu mbaya bi dada. Nakuja Pm[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]michi uuuuu kaka
Tunda alilolishwa Adam Na Hawa tukipata tu basi tunaachaMimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.
Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?
Naombeni majibu.
Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke
Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.
Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.
Mrs Jr.
Aisee kweli, ni ngumu sana ku maintain ukiwa una dolari mfukoniMama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Aisee kweli, ni ngumu sana ku maintain ukiwa una dolari mfukoni