SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Sio kweli mzigua mwenzangu ukiona mwanaume hachepuki jua ana hofu ya Mungu basi.

Mm wangu hajawahi kuchepuka nawala hana time na wanawake kabisaaa yuko bize na kazi zake na kufanya ibada.

Mdele nagamba vino wagosi WAAMINIFU WAPO
 
Sio kweli mzigua mwenzangu ukiona mwanaume hachepuki jua ana hofu ya Mungu basi.

Mm wangu hajawahi kuchepuka nawala hana time na wanawake kabisaaa yuko bize na kazi zake na kufanya ibada.

Mdele nagamba vino wagosi WAAMINIFU WAPO
Ndugu yangu usiusemee moyo. Hawakaniwi hawa viumbe. Usiseme mumeo hacheat sema hujawahi kumkamata.
 
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.
Tupewe ruksa ya kuoa wake kadri ya nguvu zetu na matamanio yetu..!
 
Mwenyewe kuna ex wangu asingeniambia mwenyewe alicheat ningeambiwa na mtu mwingine ningemchukia huyo mtu kwa kusema uongo maana nilikua namuamini mpaka tulivyoachana siku tunaoiga story ananiambia baby mama wake alikua nae kabla yangu na mimi sikuwahi kuhisi japo kidogo kama bby anakula nje
Exactly kuna mbaba sku tulivyojua anacheat kila mtu alibak mdomo waziii
 
Mwenyewe kuna ex wangu asingeniambia mwenyewe alicheat ningeambiwa na mtu mwingine ningemchukia huyo mtu kwa kusema uongo maana nilikua namuamini mpaka tulivyoachana siku tunaoiga story ananiambia baby mama wake alikua nae kabla yangu na mimi sikuwahi kuhisi japo kidogo kama bby anakula nje
Kuna wanawake wanasema mme wangu hacheat lakin tunakutana nao sehem za starehe wana wadada 3some
 
Sio kweli mzigua mwenzangu ukiona mwanaume hachepuki jua ana hofu ya Mungu basi.

Mm wangu hajawahi kuchepuka nawala hana time na wanawake kabisaaa yuko bize na kazi zake na kufanya ibada.

Mdele nagamba vino wagosi WAAMINIFU WAPO

Kweli wajinga ndiyo waliwao....kuna makasisi,mapadri ,wainjilisti,mashehe nk nao wanapatwa na kashfa za ngono kila kukicha,huyo wako ni nani ayakwepe haya mambo?....
 
Kweli wajinga ndiyo waliwao....kuna makasisi,mapadri ,wainjilisti,mashehe nk nao wanapatwa na kashfa za ngono kila kukicha,huyo wako ni nani ayakwepe haya mambo?....
Hakika wewe umenena maana sisi twajua maana kutwa tunatongozwa mpaka na mapadri na kuahidi kutuhonga madorali ili tuwape tendo la ndoa
 
"WANAUMEv WENGI TUNAKOSEA HAPA"

Yawezekana kweli tuna Upendo
wa dhati kutoka moyoni lakini
tamaa ya mwili imekuwa ugojwa
mkubwa wa akili za maisha yetu.

Tumekuwa watu wa kupenda
pale tunapowaona, lakini huwa tuna wadharau pale tunapokuwa
nanyi, baadae tunawachukia pale
tunapowakosa.

Tumekuwa watu
wa kuzoea
makosa yetu pasipo kuzoea na
makosa ya wenzetu, tumekuwa watu wa kuhukumu pasipo sisi
kuhukumiwa.

Hakika tumejenga
misingi ya nyinyi
kutokuwa na imani na
sisi. Tumetengeneza chuki
inayotafuna kizazi chetu chote, tumewafanya msiwe na
uwoga tena kwetu na pia kufikia hatua ya kutaka kupambana na sisi.

Hilo sio kosa lenu, ni kosa letu. Hakika kuzowea kuendelea kuchepuka haijawahi kutuacha salama.
 
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.
ALAFU IYO KITU NIMESHASIKIA TENA EX-WANGU NDO ALINAMBIA HUO MCHEZO UPO NA NASIKIA NI PEMBE YA KITAMBA SIJUI. nilimwambia jaribu uwone alafu siku ukisahao naku tia kwa masaa 48 non-stop huko ni kutesana.
NATURALLY WANAUME SISI NI POLYGAMOUS, NDO NATURE YETU ILA KWENYE SWALA LA KUTULIA HUWA HATUTULIZWI NI MAAMUZI BINAFSI KUTOKA MOYONI. MSIJIDANGANYE KUWA ETI FULANI KAMWAKA JAMAA YAKE KIGANJANI YA HACHEPUKI HAPANA JAMAA KAAMUA TU KUTULIA. PENGINE JIULIZE UMEKOSEA WAPI?
 
Hivi umefanya utafiti wanawake mko wangapi vs Wanaume?
Pili kusaidiana muhimu.
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Najua inauma kote kote!
 
Back
Top Bottom