SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Seriously fact ni kwamba Wanaume walio wengi hawawezi kuwa na mwanamke mmoja wengi wanashindwa kuzizuia tamaa zao za mwili kila waonapo mwanamke anaewavutia machoni pao na ni kitu ambacho mwanamke unatakiwa ukubaliane nacho hata kama hutokipenda na hii ni kwa faida yako binafsi na moyo wako.

Unachotakiwa kujali ni heshima ya mumeo kwako mahitaji muhimu ya familia na vipi anakupa priority kama namba moja wake kama unayapata hayo huna haja ya kuzijuia nyendo zake kama anachepuka au laah.

Mwisho jikite zaidi katika kushirikiana kufanya maendeleo ya kujenga familia yenu na usichoke kumsisitiza mumeo ajilinde kiafya kwa maslahi yenu wote wawili.
Yaani wanawake wote wangekua kama wewe ingekua poa sana,sasa ngoja waje ulweso na hajar wamwage mapovu hapa
 
Nilihisi yule dada alivutiwa na na mimi tu kwani she was so natural n sexy,alikuwa msafi kwelikweli kanyoa fresh mashine imeumuka,,,halafu kila nilipokuwa naongea yeye alijukua anacheka tu,kwa kwelivjapo kilikuwa ni kipindi kifupi lakini aliniambiambia nimemsahaulisha madhila ya safari.
Trust me tulicheza peku peku dakika zote 90+ extra time.
Mkuu huogopi ukimwi hahaha
 
Kwani mpenzi anapotaka ndoa unadhani atakuonesha kero zozote? Atakuwa malaika huyo mpaka utasema nilikuwa wapi siku zote hizo.
Mwanamke akishakuingiza kingi ukakiri madhabauni tu ndio mwisho wa yeye kufanya unayopenda kwa upendo wote, ataanza kukupa ngenya akijiskia yeye, kukupikia vzr akijiskia, kuwakirimu wazazi ndio hadi apende. Mradi kero tu mjengoni
Hahaha!!! Akikiingiza kingi madhabahuni ndoa hahaha!!! Unampiga tu chini au unatafuta mchepuko
 
Moja ya tatizo langu nimwanamke wangu kutofanikisha au kuto maliza kiu yangu au kuto nipa kabisa unyumba kwa kigezo vingi mno
 
Hapo sasa ulizingua ungekuwa unajipigia hadi leo
Nadhani hata yeye alikuwa anawaza kwa nini hajachukua namba kwa sababu nilipomfikisha stendi ya zamani ya Singida nikamuaga akanipa hug tukiwa ndani ya defender kisha akaniambia nafsi yangu imekupenda sana sjui nifanye nini?! Mimi nisura chozi linitoke akashuka akawa bado ananiangalia hikampa bye chuma nikaipa gia lakini njia nzima nilikuwa nawaza tukio lile sijawahi kupata raha ya roho kama siku ile never.
 
Nadhani hata yeye alikuwa anawaza kwa nini hajachukua namba kwa sababu nilipomfikisha stendi ya zamani ya Singida nikamuaga akanipa hug tukiwa ndani ya defender kisha akaniambia nafsi yangu imekupenda sana sjui nifanye nini?! Mimi nisura chozi linitoke akashuka akawa bado ananiangalia hikampa bye chuma nikaipa gia lakini njia nzima nilikuwa nawaza tukio lile sijawahi kupata raha ya roho kama siku ile never.
Nakumbuka aliniambia kwao alikozaliwa ni Ngudu.
 
Moja ya tatizo langu nimwanamke wangu kutofanikisha au kuto maliza kiu yangu au kuto nipa kabisa unyumba kwa kigezo vingi mno
Sasa wewe unategemea aende shamba jalafu akakate kuni apulize moto apike majarage halafu akachote maji halafu nado unataka awe na hamu ya ngono.
Mwanamke amatakiwa aandaliwe kabla ya mambo.
 
Mruhusu aoe huo mchepuko ili msaidiane kumthibiti asitafute michepuko zaidi, vinginevyo hakuna namna
Hata kama ataoa mchepuko atachepuka tu kwa mwingine hata mlambe vipi unamaliza kumlamba anaenda kuchepuka cha kuchosha zaidi huyo mchep ukimwona unaweza kumwonea huruma hawa viumbe hawa shida sana
 
Mruhusu aoe huo mchepuko ili msaidiane kumthibiti asitafute michepuko zaidi, vinginevyo hakuna namna
Hata kama ataoa mchepuko atachepuka tu kwa mwingine hata mlambe vipi unamaliza kumlamba anaenda kuchepuka cha kuchosha zaidi huyo mchep ukimwona unaweza kumwonea huruma hawa viumbe hawa shida sana
 
Hata kama ataoa mchepuko atachepuka tu kwa mwingine hata mlambe vipi unamaliza kumlamba anaenda kuchepuka cha kuchosha zaidi huyo mchep ukimwona unaweza kumwonea huruma hawa viumbe hawa shida sana
Kinachowasumbua ni ubinafsi, mnapigia hesabu kurithi mali zote za mume
 
Hahahaha umetisha mkuu siku hizi hawana mali atatafuta mali saangapi wakati anawaza tu kuchepuka
 
Back
Top Bottom