Swaumu yanitesa!

Swaumu yanitesa!

Lol....
Hongera baba mchungaji.. Umeonyesha upendo wa dhati kwa laaziz... Mapenzi ni kusaidiana kwenye shida na raha..
 
Mchungaji niko huku South Sudan nasimamia ujenzi wa lile kanisa ukimaliza mfungo wewe njoo huku
 
Lol....
Hongera baba mchungaji.. Umeonyesha upendo wa dhati kwa laaziz... Mapenzi ni kusaidiana kwenye shida na raha..

Yani mchungaji ana demu?!au kaoa?na mbona mkewe bado ni muislamu?huyu si mchungaji halisi atakua mchunga mbuzi.
 
Hahahahahaahh MTM mara ya mwisho alisikika Benghazi!

Nitatia timu yale mambo yetu yapo?
Yale mambo yetu yapo Mchungaji tena baada ya kutua uwanja wa ndege ukifika tu hotelini mambo mswano, MTM namtafutia permanent viza ya huku ili awe anafanya biashara ya kuleta John Mtembezi
 
Hata mie nafunga mchungaji niko Southern Sudan........................karibu pia huku
 
Wakuu mabibi na Mabwana!

Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.

Karibuni Zenji

Mpwa kazia swaumu na mate
 
Wakuu mabibi na Mabwana!<br />
<br />
Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.<br />
<br />
Karibuni Zenji
<br />
<br />
inakutesaje????
 
Hahaha!!! Dena niliona mtu kama wewe pale kwenye ikulu ya Salva Kir aisee unaajenda gani kule unataka kufanya biashara ya mafuta nini

Unajua ODM alinambia uko huku nikajua ananipiga changa la macho nikadharau ngoja niku PM tukutane aisee dah!!!!
 
Wakuu mabibi na Mabwana!

Nimepotea Jukwaani kwa muda sababu kubwa namsaidia lazizi wangu Mzenji kufunga kwenye mwezi huu mtukufu. Nilipata aibu zile siku za mwanzo kwenye funga niitwa kobe...huku Zenji hata Migahawa inafunguliwa baada ya futuru. Inshallah nitarudi baada ya mfungo kwisha.

Karibuni Zenji
Sawa baba mchungaji,kwa nini usimwite sheikh mkamaliza kabisa nawe uingie huko kwa bibie?Maana nahisi uzalendo huwa unakushinda mida fulani.
 
Back
Top Bottom