Shazili mnali
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 362
- 569
Hata wakichoma za dunia mzima haitabadilisha chochote ukenge2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha vitisho wewe.Mimi si Mkamilifu sana ila nasema toka ya Moyoni hao Wasweeden watapata Majanga ya asili mpk wachakae ni suala la muda tuh.
Kudhihaki dini/Imani ya mtu ni jambo baya sana aisee. 😭 😭
Tena nahisi hilo Kasri litapigwa tetemeko/Kimbunga and the likes lote litabomoka na kutatokea vifo vingi sana vya wananchi na maelfu ya wananchi watapoteza sehemu za makazi.
Siyo jambo zuri kukashifu/kudhalilisha dini/iman ya mtu.
NOTE: Mod Hii comment msiifute hakika itatupa ushahidi huko mbeleni ni Nini Mungu alifanya kwa Sweeden baada ya Maovu yao ya kudhihaki dini ya Uislam kwa kuchana vitabu vyao.
Wallau Allam🙏🙏🙏🙏
Mwanzoni mwa mwaka huu Quran ilichomwa Sweden mbele ya Ubalozi wa Uturuki. Waturuki na waislam duniani waliandamana kwenye nchi zao kulaani sana.Mimi si Mkamilifu sana ila nasema toka ya Moyoni hao Wasweeden watapata Majanga ya asili mpk wachakae ni suala la muda tuh.
Kudhihaki dini/Imani ya mtu ni jambo baya sana aisee. [emoji24] [emoji24]
Tena nahisi hilo Kasri litapigwa tetemeko/Kimbunga and the likes lote litabomoka na kutatokea vifo vingi sana vya wananchi na maelfu ya wananchi watapoteza sehemu za makazi.
Siyo jambo zuri kukashifu/kudhalilisha dini/iman ya mtu.
NOTE: Mod Hii comment msiifute hakika itatupa ushahidi huko mbeleni ni Nini Mungu alifanya kwa Sweeden baada ya Maovu yao ya kudhihaki dini ya Uislam kwa kuchana vitabu vyao.
Wallau Allam[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
na hapo ilipochomwa patajengwa msikiti tena?. Wanaochoma ni waumini wa kitabu hicho haina shida wanajichumia dhambi zaoWaislsam wanavyopenda ligi kesho watanunnua zingine elf kumi na kulinunua eneo hilo kuwaproof wrong wazungu
Ila we bibie mi hukupenda sana kukusoma, hauna jazbaSijakuelewa Wimbo wako unanihusu nini?
fundisho la kishetani, limejaa chukiKoran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
una nakala ya hicho kitabu cha salman rushdie?SATANIC VERSE.
MAFUNDISHO ya KISHETANI NDANI ya Quran.
unajua athari ya kuchoma kitabu hicho duniani? Ni sawa na kuteketeza imani hiyo. Kama ni ya Mungu itaishi milele na kama ni abrakadabra tu itatoweka duniani. Watu wataona ni upuuzi kuamini kitabu kinachochomwa moto hovyohovyo wala wachomaji hawadhuriki kwa kuchoma kitabu cha allahHapo zamani za kale, uchapishaji wa nakala za vitabu ilikuwa ni issue ngumu inayohitaji muda na mali. Waliandika Kwa mkono wenye kitabu chao walidhani Dunia haita badirika kiteknologia wakaweka masharti makali ya kutisha watu kukiogopa kitabu na wengine wamemeza hivyo hivyo Hadi Karne ya Sasa ya maendeleo kitechologia. Hata wachome vyote Quruan haita potea kamwe katika ulimwengu huu wa digitalization na kuna watu wamekimeza hicho kitabu chote.
Hakuna haja ya makasiriko wawaache tu mwisho wataona ujinga. Zaidi waweke nguvu kwenye kuprint kopi nyingi zaidi na wazigawe bure au app zaidi
Umesema ukweli Mkorinthobaadhi ya watu wanapenda namna waislam wana act kama kunguru so wanapenda kuwachezea.
kwa sisi watu wa mtaani kuna dhana kwamba ukipewa jina la utani ukalichukia lazima likunate,kila mtu ataendelea kukuita,ila ukicheka ukakausha ndio linafia hapo hapo.
kuchana kitabu cha dini,hakuna athali zozote kwa mchanaji,mwenye nacho(mungu),waumini wa kitabu hisika,wala watazamaji,kile ni kitabu tu,kinaweza hata kuchambiwa.
zaidi tu mchanaji anatakiwa ahurumiwe kwa kukosa busara.
Wellunajua athari ya kuchoma kitabu hicho duniani? Ni sawa na kuteketeza imani hiyo. Kama ni ya Mungu itaishi milele na kama ni abrakadabra tu itatoweka duniani. Watu wataona ni upuuzi kuamini kitabu kinachochomwa moto hovyohovyo wala wachomaji hawadhuriki kwa kuchoma kitabu cha allah
Sikiliza Sheikh wao mwenyeweUturuki mji ulisawazishwa na tetemeko na wenyewe walichoma quran