Hawezi kuelewa. Tatizo wanamforce Yesu aliyeandikwa kwenye kitabu Cha Mathayo awe Isa bin Mariamu, wakati Yesu anayemquote alikufa.kwa kweli biblia sio quran. sio kila mtu akisoma, ataelewa. YESU akupigana na yeyote. na aliposulubiwa aliwasamehe. alafu usichanganye mada. siku nyingine ukiongelea uislam, TUMIA QURAN. HAUWEZI kutumia katiba ya TZ, nchini kenya(ni mfano)
we vipi? Kwa kuwa sweden ni nchi ya wazungu ndio unajua wazungu wamefanya tukio hilo? Hujamsoma yule muiraq wiki chache zilizopita alivyofanya kwenye hiyo qur an? Sweden ina wahamiaji wengi wakiwepo wa mataifa ya kiislam, na unaambiwa hawafanywi kitu hata wakichoma vitabu vya dini yeyoteNikiwaza sana"Wanadamu no matter how civilized they are,bado Kuna ile hali ya kuwaza kimbuzi ambayo inatutenga mbali sana Kwa point compare to high beings.Sasa mtu mzima na pumbu zake anaenda kuchukua kitabu anachojua fika mwenzake anaamini kuwa ni kitakatifu,na kukichoma moto.For what?Upumbavu tu hasa wazungu ndio wapuuzi kweli kweli.
acheni hizo nyie, terrorism itoke wapi? Zimefanyiwa vibaya biblia na torah, watu wamenyamaza hawakuchoma ubalozi, eti qur an imefanyiwa mtima ndio mlete fujo? Tulieni acheni munkari sweden haitambui vitabu vya dini, mlikimbilia huko na dini yenu mmedandia mtumbwi wa vimbwengo. Kutwa kukumbilia nchi za watu na dini yenu. Nyamazeni kimya kama wenzenu wa biblia na torahHao unawaita wapuuzi.
Unatumia bando lao.
Unatumia signals kutoka kwao.
Website Yao.
Simu zao.
App zao.
Yaani hakuna unachomiliki , Kila kitu pamoja na ubunifu unatoka kwao. Alafu unasema wazungu ni wapumbavu? Sema baadhi sio wote.
Ukitaka kuwasema ni muda watu waanze kubuni vitu vyao wenyewe lasivyo mpumbavu utaonekana wewe.
Ni kweli wamezingua sana tena sana ila nasubiri kuona impact, naona kutakuwa na terrorism ya kutisha Ulaya.
Mimi ni Mgalatia.acheni hizo nyie, terrorism itoke wapi? Zimefanyiwa vibaya biblia na torah, watu wamenyamaza hawakuchoma ubalozi, eti qur an imefanyiwa mtima ndio mlete fujo? Tulieni acheni munkari sweden haitambui vitabu vya dini, mlikimbilia huko na dini yenu mmedandia mtumbwi wa vimbwengo. Kutwa kukumbilia nchi za watu na dini yenu. Nyamazeni kimya kama wenzenu wa biblia na torah
Kitabu siyo Mungu wao we maku,waambie na hao wanaodai Mungu wao anajipigania/jitendea,ajihubiri mwenyewe tumsikie huko aliko badala ya kuwaacha watu wamuhubiri jua Kali wakirukwa mate,ajijengee kanisa na aache kuwafilisi masikini kwa zaka na sadakawangeacha mungu wao ajitetee mwenyewe
Mbona hawaruhusu kuchoma Bendera?kama Bendera ni kitambaa tu?Sasa maandamano na fujo na kuchoma balozi za sweden kwenye nchi za kiislamu yanatoka wapi kama ukichoma unachoma makaratasi?
pole sana ndugu kwa kukosa.....Kitabu siyo Mungu wao we maku,waambie na hao wanaodai Mungu wao anajipigania/jitendea,ajihubiri mwenyewe tumsikie huko aliko badala ya kuwaacha watu wamuhubiri jua Kali wakirukwa mate,ajijengee kanisa na aache kuwafilisi masikini kwa zaka na sadaka
Ndio ujuwe hivyo,waislamu hawa pigwi shavu la kushoto
,wakakupa la kulia uwapige,wao wanafuata maneno ya Yesu kwa vitendo,ili wapate uzima wa milele:
Yesu anasema
"Msidhani nimekuja kuleta amani duniani,sikuja kuleta amani,bali upanga"
Matthew 10:34-36
Kasema tena "Bwana mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Ndio ukaona hawakwenda kuchoma vitabu vya dini nyingine wala kuchoma nyumba za ibada za dini nyingine,wamekwenda kunakohusika.
Lengo hawawataki waislamu wahamiaji Sweden akufukuzaye hakwambii tokaJamaa wanazema wana mpango wa kuichoma hivi karibuni tena huko Sweden