February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Huo Ushenzi watanzania wanaupenda sana,Nenda ukaenjoy Ila tu msifanye mapenzi kwenye maji mkuu
Zitaje baadhiHuo Ushenzi watanzania wanaupenda sana,
Infact, Swimming Pools nyingi hapa nchini, ni sawa tu na Choo cha Public.
Huo mchezo mchafu sana yani... halafu sikuizi kuna mijitu inajionea kawaida tu π€’Huo Ushenzi watanzania wanaupenda sana,
Infact, Swimming Pools nyingi hapa nchini, ni sawa tu na Choo cha Public.
Ndo wap?Manyosa
Tangu siku dem wangu alipoogelea kwenye swimming pool huku akiwa period sijawahi kuoga tenaHuo Ushenzi watanzania wanaupenda sana,
Infact, Swimming Pools nyingi hapa nchini, ni sawa tu na Choo cha Public.
Mkuu, Swimming Pools zote ambazo unalipia 10,000 kwenda kuogelea, hizo ni sawa na Choo cha Jumuiya.Zitaje baadhi
Ndio kizazi cha sasa kilipofikia, Ngono ndio inaongoza akili zao.Huo mchezo mchafu sana yani... halafu sikuizi kuna mijitu inajionea kawaida tu π€’
February Makamba umesoma alichoandika mchangiaji hapo juu? Huo ndio UKWELI na Uhalisia wenyewe.Tangu siku dem wangu alipoogelea kwenye swimming pool huku akiwa period sijawahi kuoga tena
Pugu DampoNdo wap?
Beach boy lazima ATOMBE kwenye maji.Nenda ukaenjoy Ila tu msifanye mapenzi kwenye maji mkuu
Usiniambie na wewe ilikua tabia yakoπππππBeach boy lazima ATOMBE kwenye maji.
#YNWA