Switching from Toyota IST to VW polo/golf... Ushauri wako please

Switching from Toyota IST to VW polo/golf... Ushauri wako please

kayanda01

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,216
Reaction score
1,062
Kipato cha chini... ila IST nimeweza kuimudu vyema service & maitanance.

IST ndo gari yangu ya kwanza kumiliki, ni mwaka mmoja sasa. Napenda speed, and stability matters a lot!! Ni mtu wa long trips mara kwa mara. IST NCP61 cc 1490 kwa town trips ni full enjoyment, ila kwa masafa marefu hizi baby walker za mjapan ni nyepesi kama karatasi. At speed 150Km/h tu ni roho juu, ukipishana na lori unafeel kabisa kanapepesuka na upepo!!

Nawish kuhamia kwa baby walker ya mjerumani... mnyama VW polo ama VW golf, yenye ingine size max cc 1500. Nasikia baby walker za mjerumani ni nzito stability ya kutosha.

Je, nitaweza imudu? Ama nitapata taabu sana? Kipato changu ni moderately low.

Mafundi wa hizi gereji zetu za uswazini wanadiscourage sana magari ya Ulaya, wanasema spea zake na service ni pasua kichwa in terms of expensiveness!
 
First Site, Nasubiria na mimi kupata uzoefu wa magari ya Kijerumani

Mkuu, mikebe ya kijerumani iko vyema kwa stability. Ila wakongwe wanashauri kwamba kama mtu ana hela ya mawazo, it's better akabaki kwa baby walker za mjepu.
 
Shida kubwa ya gari za ulaya na Marekani ni mafundi, upande wa spares angalau kuagiza kupo, ila mafundi ndio pasua kichwa kwa nchi yetu hii.
Pia kuagiza maana yake uwe na gari mbadala kama spare ni ya kuweka gari juu ya mawe which takes you back to the income.

Bakia Japan tu na sio Japan tu ila bakia Toyota .
 
Ha ha ha. Laki 8 mshahara wa Graduate Halmashauri ya Kaliua hukoo
Eeh ndio inatakiwa hio mkuu, ukichukua Polo GTi ubao unasoma 300KPH Topspeed!

Hapo ikijamba kidogo ujue spear ni za laki 2 na zaidi na utauziwa set. Liqui Molly engine oil tu yenyewe ni 70k! Bado sijajua filter yake itasimamia bei gani ila nachojua haiwezi kuwa 10K kama ile ya IST.
 
Eeh ndio inatakiwa hio mkuu, ukichukua Polo GTi ubao unasoma 300KPH Topspeed!

Hapo ikijamba kidogo ujue spear ni za laki 2 na zaidi na utauziwa set. Liqui Molly engine oil tu yenyewe ni 70k! Bado sijajua filter yake itasimamia bei gani ila nachojua haiwezi kuwa 10K kama ile ya IST.
Bora tubaki kwenye Passo, Piston 3. Vipi Xtrail Nini maoni yako?
 
Back
Top Bottom