Nimeishiwa pozi....hata mimi natamani sana mjerumani ila shekeli hazichangiki na uchumi huu wa katiVipi Mkuu
Chukua gari hiyo kaka au golf .6 lMie mtu wa masafa sana mara kwa mara. Hiyo chuma inanifaa. Baby walkers za mjerumani zinafaa kwa long trips. Wacha nipambane mkuu.
Chukua gari hiyo kaka au golf .6 l
Ukishindwa chukua subaru impreza
MKUU,Chukua X-trail utanishukuru baadae
Siyo kweliSUBARU IMPREZA Amna kitu Brother ni kama Ist au Runx tu