mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Mpoki amejitokeza kuomba ridhaa ya CCM kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni. Mpoki ni msanii wa vichekesho, mshehereshaji, mtangazaji wa kipindi cha Ubaoni redio ya EFM na pia ni mwimbaji wa nyimbo za kugani.
Pia soma
> Mpoki ndio mchekeshaji bora wa stand up comedy kwa Tanzania
> Huyu Mpoki vipi jamani?
Pia soma
> Mpoki ndio mchekeshaji bora wa stand up comedy kwa Tanzania
> Huyu Mpoki vipi jamani?