Uchaguzi 2020 Sylvester Mujuni 'Mpoki' achukua fomu kuomba ridhaa ya CCM kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni

Uchaguzi 2020 Sylvester Mujuni 'Mpoki' achukua fomu kuomba ridhaa ya CCM kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni

Msanii wa uchekeshaji Mpoki amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Kigamboni.

Katika kura za maoni atachuana na Makonda aliyekuwa mkuu wa mkoa wa DSM.

Maendeleo hayana vyama!

======

Mchekeshaji na Mtangazaji,Sylvester Mujuni maarufu kwa jina la Mpoki leo Alhamis 16.7.2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.

View attachment 1508593
Kumbe ameamua kuchukua fomu ili kuchekesha watu!!
IMG-20200708-WA0016.jpg
 
Msanii wa uchekeshaji Mpoki amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Kigamboni.

Katika kura za maoni atachuana na Makonda aliyekuwa mkuu wa mkoa wa DSM.

Maendeleo hayana vyama!

======

Mchekeshaji na Mtangazaji,Sylvester Mujuni maarufu kwa jina la Mpoki leo Alhamis 16.7.2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.

View attachment 1508593
Kitu photo Shop AKA Picha duka
 
Msanii wa uchekeshaji Mpoki amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Kigamboni.

Katika kura za maoni atachuana na Makonda aliyekuwa mkuu wa mkoa wa DSM.

Maendeleo hayana vyama!

======

Mchekeshaji na Mtangazaji,Sylvester Mujuni maarufu kwa jina la Mpoki leo Alhamis 16.7.2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.

View attachment 1508593
Sitashangaa nikimwona na ebitoke a kichukua form
 
Back
Top Bottom