eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Nimeiona hii mkuu.View attachment 879520
bye bye MAMA Lishe.
tulikupenda, lkn wakenya wamekupenda zaidi.
Teh teh teh tihiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiona hii mkuu.View attachment 879520
Atapata tabu sana kupata kazi nje ya Kenya kutokana na kesi ya mauwaji iliyoisha kimaajabu.
Acha wivu, mbona Vodacom walimfata wao wenyewe? Yaani sasa hivi atafanya kazi kwao nyumbani, akuze nchi yake, bila ya kufatafatwa na wachawi kama wewe, mshahara mkubwa zaidi ya ule ambao angelipwa na Vodacom. Kama imekuuma wasiliana na Safaricom Customer Care. 😎Atapata tabu sana kupata kazi nje ya Kenya kutokana na kesi ya mauwaji iliyoisha kimaajabu.
Acha wivu, mbona Vodacom walimfata wao wenyewe? Yaani sasa hivi atafanya kazi kwao nyumbani, akuze nchi yake, bila ya kufatafatwa na wachawi kama wewe, mshahara mkubwa zaidi ya ule ambao angelipwa na Vodacom. Kama imekuuma wasiliana na Safaricom Customer Care. 😎
Unaumwa, serikali ya Kenya ndio ina shares nyingi Safaricom hizi zingine zinazouzwa huku mitaani hazizidi hata 5%. Mimi mwenyewe hapa nilikuwa na shares Safaricom, ila niliziuza.Mbona tumempa kazi tena Safari Com, wa TZ sisi ni watu wenye huruma sana, since majority of shares belongs to Tanzanians☺☺
Ni vodacom ndio walimfuata sio GoT, kokote atakapoenda lazina hii kesi iwe disclosed to the authority. Hapo Kenya kuna watu wanamkingia kifua lakini nje ya Kenya hadithi inaweza kuwa vingine.Acha wivu, mbona Vodacom walimfata wao wenyewe? Yaani sasa hivi atafanya kazi kwao nyumbani, akuze nchi yake, bila ya kufatafatwa na wachawi kama wewe, mshahara mkubwa zaidi ya ule ambao angelipwa na Vodacom. Kama imekuuma wasiliana na Safaricom Customer Care. 😎
Very true.Teh teh teh tihiii
sasa yote hayo yanatoka wapi kaka?
acha povu bana!!!
sisi kazi kwa upande wetu tumeshamaliza, hata huko mkimpa urais sisi wala hatumo.
Mbona basi unamfata fata huyo mwanamke ukimuita muuaji? Au alikunyima kinembe? [emoji1] Alafu mlifanikiwa kumpata mmisri eeh? Hamna yeyote wa kiwango cha Sylvia Mulinge Tz nzima? [emoji15]Teh teh teh tihiii
sasa yote hayo yanatoka wapi kaka?
acha povu bana!!!
sisi kazi kwa upande wetu tumeshamaliza, hata huko mkimpa urais sisi wala hatumo.
Very true.
Dah! Huyu mwanamke wa kikenya anawakosesha usingizi na tayari keshapata kazi, tena kwenye kampuni ambayo ana chance ya kupanda cheo. Mtizameni kwa mbali tu jombaa.Ni vodacom ndio walimfuata sio GoT, kokote atakapoenda lazina hii kesi iwe disclosed to the authority. Hapo Kenya kuna watu wanamkingia kifua lakini nje ya Kenya hadithi inaweza kuwa vingine.
Mbona basi unamfata fata huyo mwanamke ukimuita muuaji? Au alikunyima kinembe? [emoji1] Alafu mlifanikiwa kumpata mmisri eeh? Hamna yeyote wa kiwango cha Sylvia Mulinge Tz nzima? [emoji15]
Ilisha kinyemela, polisi walisema hana makosa kwasabu eneo la ajali halikutakiwa mpitanjia awepo. But this has hallmark za kukingiwa kifuwa na wakubwa.Teh teh teh tihiii
ila watuambie tu ile KESI YA KUUA MTOTO WA MKENYA MASIKINI HUKUMU IKO WAPI?
CC: https://www.jamiiforums.com/members/pingli-nywee.325777/
Come with a thread and prove it, it always works you know we are waiting...A solid win to the interests of Tanzania. NOW, his Excellency JPM should revoke partnership btn EABL n Serengetibrew as has not n will never be beneficial to Serengetibrew. For a better growth of Serengetibrew should be placed under direct management Diageo Plc n not greed influence from individuals in Nairobi.
Good for her, but wingu la kupoteza roho ya mtu litachukuwa zaidi ya kazi na mshahara mnono kupotea.Dah! Huyu mwanamke wa kikenya anawakosesha usingizi na tayari keshapata kazi, tena kwenye kampuni ambayo ana chance ya kupanda cheo. Mtizameni kwa mbali tu jombaa.
😊😊😊😊 we chizi mishipa ya shingo imekutoka, povu! Any. Way hatutaki manyangau huku, stay with your smelly kibera, thats just about it! We love making you look stupid, when you actually think you are smart!😊😊Unaumwa, serikali ya Kenya ndio ina shares nyingi Safaricom hizi zingine zinazouzwa huku mitaani hazizidi hata 5%. Mimi mwenyewe hapa nilikuwa na shares Safaricom, ila niliziuza.
Geza Ulole finished this woman
Kamati ya roho mbaya.
Finished her and yet she still retains a job that neither you nor Geza will ever come close to?
Ng'ang'ana na hali yako. Mulinge ni tajiri na mshahara wake mkubwa utaendelea.
You can bet she is still one of the highest paid executives in East Africa.
Good for her, but wingu la kupoteza roho ya mtu litachukuwa zaidi ya kazi na mshahara mnono kupotea.
Wabongo bana! Mnayakumbuka haya maneno yenu? Kuna WATANZANIA wengi sana ambao wanaiweza kazi hiyo ambayo Vodacom wanataka kumpa Sylvia Mulinge. Hahaa! [emoji1] Mezeni matapishi yenu basi, kwa raha zenu!Teh teh teh tihiii hamna anayemfuata. sisi tulikuwa na jambo letu na tumelikamilisha kwa matokeo.halafu huyo mwanamke sijawahi hata mfikiria wala kumzimia.
mmisri hana shida, na ni kijana mnyenyekevu sana. tumemkubali.
hamna kama Sylivia kwa maana gani?