System iingilie kati nchi isonge, CCM imepasuka na tukicheza waliojigawa + upinzani wataharubu nchi!

System iingilie kati nchi isonge, CCM imepasuka na tukicheza waliojigawa + upinzani wataharubu nchi!

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,351
Reaction score
9,838
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Swali fikirishi je ulishawahi kujiuuliza kwanini baadhi ya waliopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi a. k. a kujizima data Tena wale unaowafahamu vizuri uwezo wao gorofani
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Mama yupi? Huyu mama Abdul aliyeuza bandari alafu anaenda kukopa
 
Unaitakia Amani CCM iliyochagua upande wa Giza Ili iweje🤔
CCM Chama cha mapinduzi ya kifikra yaani kupindua pindua fikra za watu hadi wanaahirisha kufikiri kwa nafsi, (kujizima data)? Kweli CCM kiboko yetu, kumbe tuliandaliwa kuto kuhoji, haya Sasa mafuvu yameanza kufanya kazi, you can not fool people all the times, huwezi kuwapumbaza watu muda wote
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Ni bahati mbaya sana huu ushauri umeutoa kwa kuchelewa. Hivyo hakuna namna yoyote ile ya kukusaidia.
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Swali nini maana ya unworking government machineries
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Wewe ni chawa tu weka namba ya simu kabisa urushiwe salio.
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Mkuu umeporomoka kwa kiwango cha kutisha mno! wakati ule unaweka namba za simu hapa jf nilikustukia mapema sana, ila endelea tuone mwisho wako
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Hivi wewe huna mama hadi umuite mama Abdul mama?
 
Salaam!
Nchi lazima iende mbele na huu ni wakati wa system kuwa makini na wakati wote kuwa kazini.

Unajua tuambiane ukweli, Kuna watu wengi ndani ya CCM na nje ya CCM wanaomdharau mama..
Matendo yao na maneno yao yako wazi sana!
Na nyuma ya picha inaonekana Kuna muunganiko.

Mama hawezi kutegemea Chama Sana kwa Sasa, humo ndani wasiomtaka ni wengi na unfortunately ndio anaofanya nao kazi!
RC Chalamila jana hakukosea kuongea, tulichokosea kuelewa ni kwanini aliongea vile.. kuzidisha hasira za watu na chuki!

Sijawahi kuipenda CCM kiivyo ila sitamaani nchi yangu igeuke Kenya!
Kuna mengi ya kupoteza kuliko yaliyo ya kupata.

Kama tuliweza kuwa stable kipindi cha Lowasa tunaweza kuwa stable Sasa!
Wee mtumwa, kuirekebisha nchi wewe kwa uzoefu wako wa utumwa unaita kuharibu nchi, pumbavu kabisa wewe.
 
Mkuu umeporomoka kwa kiwango cha kutisha mno! wakati ule unaweka namba za simu hapa jf nilikustukia mapema sana, ila endelea tuone mwisho wako
Sijaporomoka kiivyo kiongozi, nafikiria mengi halafu naandika haya!
Labda uje dm tuongee
 
Back
Top Bottom