'System' ya Tanzania ingekuwa Imara kwa Dharau na Matusi ambayo Tapeli wa Kiimani Kiboko ya Wachawi anatufanyia Watanzania hivi sasa angekuwa Historia

'System' ya Tanzania ingekuwa Imara kwa Dharau na Matusi ambayo Tapeli wa Kiimani Kiboko ya Wachawi anatufanyia Watanzania hivi sasa angekuwa Historia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Dharau ambazo anazifanya kwa Watanzania na hata Kututukana Matusi kwa Makosa ya Wapumbavu kadhaa wa Kiimani kumuamini na kwenda Kanisani Kwake GENTAMYCINE nina uhakika angeifanya Rwanda kwa Kagame au hapa Uganda kwa Museveni au Israeli kwa Netanyahu hivi sasa angeshakuwa Historia duniani.

Nasisitiza tena angeshakuwa Historia duniani kwani hawa Viongozi niliowataja hapa hawana Uvumilivu na Masihara na Wapumbavu kama Yeye na ndiyo maana Nawapenda mno kuliko Mzembe na Mnafiki Mmoja mnywa Wines za Canada na Ufaransa.
 
Wapo busy na chadema!

Tangu lini watu wanaopewa nafasi kwa kuwa wanachama wa CCM wakasimamia maslahi ya Taifa.

Wapo pale kwa ajili ya kumega keki ya taifa huku wakilinda dude lilohifadhi pango la walanguzi.
 
Dharau ambazo anazifanya kwa Watanzania na hata Kututukana Matusi kwa Makosa ya Wapumbavu kadhaa wa Kiimani kumuamini na kwenda Kanisani Kwake GENTAMYCINE nina uhakika angeifanya Rwanda kwa Kagame au hapa Uganda kwa Museveni au Israeli kwa Netanyahu hivi sasa angeshakuwa Historia duniani. Nasisitiza tena angeshakuwa Historia duniani kwani hawa Viongozi niliowataja hapa hawana Uvumilivu na Masihara na Wapumbavu kama Yeye na ndiyo maana Nawapenda mno kuliko Mzembe na Mnafiki Mmoja mnywa Wines za Canada na Ufaransa.
Hapo mwisho umemaliza Kwa mafumbo mkuu ungeshuka tu
 
System yenyewe sasa..
tax.jpg
 
Back
Top Bottom