'System' ya Tanzania ingekuwa Imara kwa Dharau na Matusi ambayo Tapeli wa Kiimani Kiboko ya Wachawi anatufanyia Watanzania hivi sasa angekuwa Historia

'System' ya Tanzania ingekuwa Imara kwa Dharau na Matusi ambayo Tapeli wa Kiimani Kiboko ya Wachawi anatufanyia Watanzania hivi sasa angekuwa Historia

Ujinga kama huo angewafanyia Wanyarwanda, from nowhere angejikuta tu anashushwa uwanja wa ndege wa Kigali huku akisindikizwa gerezani na mashushushu wa PK.
Humjui Kagame wala asingefanya hiki ulichokiandika hapa bali angemaliza Shughuli kabisa mapema sana kwa huyu Mpumbavu.
 
Lubumbashi hapo ni karibu, elimination squad zipo majeshi yote hadi kwingineko iweje mtu atudharau kiasi hicho? Kwanza alitakiwa awe ameshasahaulika muda mrefu, kua na akina mwarabu anajiona na yeye ana ulinzi? Comeon
 
Nakubaliana nawe kwa 100% Mkuu. Yaani Systems za Rwanda, Uganda na Israeli huwa hazilei Wapumbavu kama huyu.
Kuongezeka makanisa mengi ya kipuuzi na watu kujaa huko makanisani inazidi kudhihirisha jinsi gani nchi ina wapuuzi wengi.

Jami iliyokata tamaa na kubaki kusubiri na kutegemea miujiza ya manabii wa hovyo
 
Kusema ukweli nchi yetu ina wajinga wengi.q
Mfumo ndivyo unavyotaka .

Wewe huoni hata kwenye michezo badala ya kuandaa vujana wetu wenye uwezo wa kukimbia ziara , kucheza mpira n.k . Tunachukua vijana wala pweza feri kwa sababu ni jamaa zetu tunawapa fungu na kuwapeleka olimpic kisha tunarudi na saa picha za kuweka kwenye FB na status.
 
Lubumbashi hapo ni karibu, elimination squad zipo majeshi yote hadi kwingineko iweje mtu atudharau kiasi hicho? Kwanza alitakiwa awe ameshasahaulika muda mrefu, kua na akina mwarabu anajiona na yeye ana ulinzi? Comeon
Elimination Squad ninazoziamini na kuzikubali kwa sasa ni za Rwanda, Uganda na Israeli ya kwetu iko kwa Wapinzani tu.
 
Jamaa kafanya vyema kabisa ili haya mafia dini, manyumbu majinga yajifunze.

Tukiya elimisha hapa JF yanaona kwamba tunaingilia uhuru wao wa kuabudu.

Sasa acha yapigwe mpaka akili zao zifunguke.

Wajinga ni mtaji.
Nimeona video jamaa linatukana kabisa eti watanzania ni wapumbavu sana... nimezimiss laki tano tano zenu.
 
Nitawalaumu alitoka vipi nchini na pesa wameshindwa kuzi block bank? Ila naimani akirudi kesi ya utakatishaji inamuhusu mkuu.
Wenye Akili tukisema kuwa 'System' ya sasa ina tatizo mahala ( japo wapo baadhi nawaheshimu huko wanajua ) mnaona tunawadharau au labda tuna Chuki nao.
 
Back
Top Bottom