Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Binafsi nimefurahi sana, na wngn wanaendelea kuwanyoosha watanzania wapumbavu.Nyumbu mmejaa bongo.
Safi sanaa kiboko wa wachawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nimefurahi sana, na wngn wanaendelea kuwanyoosha watanzania wapumbavu.Nyumbu mmejaa bongo.
Kudadadeki.....!!Mkewe alikuwa analia akiomba msaada mumewe asamehewe na arudishwe bongo wana watoto wadogo.
Yule hawezi kujitokeza hadharani mana n mtanzania mwenzenuHuyu anatakiwa arudishwe nchini afungwe Hadi arudi kwenye ngozi yake ya kale...aache dhihaka..Kama kuwatapeli ameshatapeli Sasa majigambo ya kazi gani...
Siku mkisikia ya yule wa kawe nahisi humu jf patakuwa hapakaliki
Okay wazee wa kula ugali na picha ya samaki 😄Mke wake mpare
Wao ni chadema TU!Dharau ambazo anazifanya kwa Watanzania na hata Kututukana Matusi kwa Makosa ya Wapumbavu kadhaa wa Kiimani kumuamini na kwenda Kanisani Kwake GENTAMYCINE nina uhakika angeifanya Rwanda kwa Kagame au hapa Uganda kwa Museveni au Israeli kwa Netanyahu hivi sasa angeshakuwa Historia duniani.
Nasisitiza tena angeshakuwa Historia duniani kwani hawa Viongozi niliowataja hapa hawana Uvumilivu na Masihara na Wapumbavu kama Yeye na ndiyo maana Nawapenda mno kuliko Mzembe na Mnafiki Mmoja mnywa Wines za Canada na Ufaransa.
Kuna Clip nyingine nimeiona Katutukana Watanzania wote Bonge la Tusi yaani mpaka natamani Mama yenu nae aisikie.
Sidhani Mkuu. System ya sasa ya Kwetu imelala sana kwani ingekuwa makini huyu Mpumbavu sasa angakuwa Historia.
Niliwahi kupost hapa namna wachezaji wa kikongo wanavyokuja hapa na kuzalisha wanawake na kutumia watoto wao kujipatia ardhi ili wajenge majumba yao.Hela alibaki anatoa mke wake, na zilikua Kwa jina la mke
Wenye Akili ( IQ Kubwa ) hutukanwa na kuchukiwa na Wapumbavu, Wanafiki na Washamba wengi hapa JamiiForums.Niliwahi kupost hapa namna wachezaji wa kikongo wanavyokuja hapa na kuzalisha wanawake na kutumia watoto wao kujipatia ardhi ili wajenge majumba yao.
Nikaishia kutukanwa.
Ulikuwa na point ila umeharibu kumuhusisha Jiwe. Anyway neno langu siyo sheriaJPM kama hawa wadharau nchi aliwafundisha kuheshimu nchi mkawa mnapiga kelele.
Au Rwanda asingeleta dharau hizi
Hata hivyo hatujachelewa, wahusika wafanyie kazi kuiheshimisha nchi
Kisha Watu ( Wazee wa Kazi ) watamaliza Shughuli.
Usiwasahau na wale wanaojiita wanamuziki kumbe huko kwao wengine ni mafundi cherehani lakini wakija Bongo wanajichubua wanajifanya ni wanamuziki.Niliwahi kupost hapa namna wachezaji wa kikongo wanavyokuja hapa na kuzalisha wanawake na kutumia watoto wao kujipatia ardhi ili wajenge majumba yao.
Nikaishia kutukanwa.
Jamaa kawalia mazuzu helaKisha Watu ( Wazee wa Kazi ) watamaliza Shughuli.
Dharau ambazo anazifanya kwa Watanzania na hata Kututukana Matusi kwa Makosa ya Wapumbavu kadhaa wa Kiimani kumuamini na kwenda Kanisani Kwake GENTAMYCINE nina uhakika angeifanya Rwanda kwa Kagame au hapa Uganda kwa Museveni au Israeli kwa Netanyahu hivi sasa angeshakuwa Historia duniani.
Nasisitiza tena angeshakuwa Historia duniani kwani hawa Viongozi niliowataja hapa hawana Uvumilivu na Masihara na Wapumbavu kama Yeye na ndiyo maana Nawapenda mno kuliko Mzembe na Mnafiki Mmoja mnywa Wines za Canada na Ufaransa.
Jamaa Ni wa kupigwa mbupu huyu.Nadhani hiyo Clip uliyoiangalia Wewe ni moja au ni fupi Mkuu ila ipo nyingine Katutukana Tusi Kubwa na Kidole cha Kati. Itafute.