SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

Wameboa sana, lakini mwandiko wako umeboa mbayaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lulu naye bomu la magadi.

Baada ya Gabo kunukuu misemo ya marais ambayo kweli hata mimi nimependa sana alivyokuwa mfuatiliaji.

Ila uchoro wa Lulu ni kumzuia Baruan asiendelee kuongea kama kuna kitu cha maana sana anazungumza, halafu anasema "Mnasema Bongo movie hatuna akili, mmesikia".

Kweli kwa hili nimeona Lulu hana akili, mpumbavu mmoja yule.
 
Jamani kaahh[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Hamisa ndo kafanyaje tena jamani

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Kuzungumza mbele ya umati ni jambo ambalo linataka mtu mwenye kitu kichwani siyo mtu kama Lulu ambaye anajua kuchokonoa tu kucha za bandia.

Show imepoa ndiyo ila Lulu sijui anafanya nini hapo! Hakuna mchungaji humo ukumbini amuombee alipuke hata mapepo.

Anaboa sana.
 
Ruby anajua mpaka anakera

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
 
Msamaheni!!!jamani kaah!![emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…