SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

Ujanijibu kama nilivokuuliza , pia majina wakati wa uteuzi hakuna alietilia maanani maana hakuna alietegemea watashinda
Kwenye baadhi ya ma-group ya hizi mambo ambayo yanakutanisha Wadau; siku majina yanatolewa, watu walishangaa kweli kweli na kuhoji what's going on! Kwenye moja ya ma-group haya, mmoja wa Mwana-Group, ambae nae nimemuona kwenye list ya washindi, akatetea kweli kweli na kudai hiyo ilikuwa ni hatua ya awali tu!

Anyway, I was kinda busy kwahiyo sikuweza kuchangia wala kufuatilia mjadala ule, kwahiyo sishangai haya yanayolalamikiwa leo!

All in all, nadhani hizi hazikuwa tuzo za msanii maarufu bali tuzo za msanii bora!

Suala la kuhoji ni namna gani mshindi alipatikana! Tuzo kama hizi zina namna mbalimbali za kupata mshindi! Namna ya kwanza ni kura za mashabiki kwa 100%! Kwa mfumo kama huo, there's no way hao watoto wangeweza kuingia hata kwenye 3 bora manake mtu kama Wema anaweza kushinda mfululizo hata bila kucheza filamu yoyote!!!

Namna ya pili ni ya Watalaamu peke yake na namna ya tatu ni Kura za Mashabiki + Majaji ambao most likely wanakuwa ni wataalamu wa sanaa husika. Huu ndio mfumo bora kuliko wa kura za mashabiki kwa sababu, ukitumia kura za mashabiki peke yake, ndo pale unakuta Ali Kiba anamshinda Christian Bella, na Diamond Platnumz anamgaragaza Wiz Kid!!!

Na linapokuja suala la Kura za Majaji + Kura za Mashabiki; napo itategemea ni kura za nani zimepewa % kubwa! In most cases, Kura za Majaji ndizo hupewa percentage kubwa, sometimes hata 70%.

Sasa kama hali ndiyo hiyo, usishangae kuona hao madogo wakawa wameshinda kwa sababu hapo sio suala la wewe ni maarufu kiasi gani au una wafuasi wengi kiasi gani; manake hata kama utapigiwa kura za NDIYO na Watanzania wote 55 Million, hiyo itakuwa ni only 30% ya sehemu ya kura zako!!

this's not about who you're but it's all about what you delivered katika kipindi husika! Filamu husika inaweza isiwe maarufu kwa mashabiki lakini wataalamu (Majaji) wakaona ustadi wa waigizaji!
 
Yani Mkuu nimejikuta nawaonea huruma wale walioondoka makwao,nakulipia kushuhudia hili Live pale Mlimani City,Jamaa wako wako tu.............. Azam media ina watu wakuhost ishu za kiburudani ila si Baruan! Shame.......
Hao jamaa wana vyeo hivyo ujipanga wenyewe kuhost
 
Nimetafuta video ya hao watoto nimekuta wameigiza mchezo wa kibaba na mama yani huyo dogo wa kiume ndiyo ameigiza kuwa yeye ndiyo baba wa familia.

Nilitarajia kuona watoto wameigiza character za watoto na kuuva uhusika kama watoto na sio maigizo ya watoto wanaoigiza ubaba na umama kinyume na umri wao.

Azam wamefelishwa na team ya wazee wanaojifanya wachambuzi wa hizo bongo movie wakajikuta wamepiga boko la kizee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye baadhi ya ma-group ya hizi mambo ambayo yanakutanisha Wadau; siku majina yanatolewa, watu walishangaa kweli kweli na kuhoji what's going on! Kwenye moja ya ma-group haya, mmoja wa Mwana-Group, ambae nae nimemuona kwenye list ya washindi, akatetea kweli kweli na kudai hiyo ilikuwa ni hatua ya awali tu!

Anyway, I was kinda busy kwahiyo sikuweza kuchangia wala kufuatilia mjadala ule, kwahiyo sishangai haya yanayolalamikiwa leo!

All in all, nadhani hizi hazikuwa tuzo za msanii maarufu bali tuzo za msanii bora!

Suala la kuhoji ni namna gani mshindi alipatikana! Tuzo kama hizi zina namna mbalimbali za kupata mshindi! Namna ya kwanza ni kura za mashabiki kwa 100%! Kwa mfumo kama huo, there's no way hao watoto wangeweza kuingia hata kwenye 3 bora manake mtu kama Wema anaweza kushinda mfululizo hata bila kucheza filamu yoyote!!!

Namna ya pili ni ya Watalaamu peke yake na namna ya tatu ni Kura za Mashabiki + Majaji ambao most likely wanakuwa ni wataalamu wa sanaa husika. Huu ndio mfumo bora kuliko wa kura za mashabiki kwa sababu, ukitumia kura za mashabiki peke yake, ndo pale unakuta Ali Kiba anamshinda Christian Bella, na Diamond Platnumz anamgaragaza Wiz Kid!!!

Na linapokuja suala la Kura za Majaji + Kura za Mashabiki; napo itategemea ni kura za nani zimepewa % kubwa! In most cases, Kura za Majaji ndizo hupewa percentage kubwa, sometimes hata 70%.

Sasa kama hali ndiyo hiyo, usishangae kuona hao madogo wakawa wameshinda kwa sababu hapo sio suala la wewe ni maarufu kiasi gani au una wafuasi wengi kiasi gani; manake hata kama utapigiwa kura za NDIYO na Watanzania wote 55 Million, hiyo itakuwa ni only 30% ya sehemu ya kura zako!!

this's not about who you're but it's all about what you delivered katika kipindi husika! Filamu husika inaweza isiwe maarufu kwa mashabiki lakini wataalamu (Majaji) wakaona ustadi wa waigizaji!
Mkuu umeongea vyema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hii bwana waliosoma na wasiosoma ni ngoma droo. Aibu tupu. Hata layman angepewa aandae hii kitu naamini angefanya vema.
 
Kama wangekuwa hawafahamiki wasingekuwa nominate. Acheni monopolization kwenye industry kila mtu ana haki ya kushinda.


Hao wanaofahamika mbona kufahamika kwao ni skendo tu. Huyo sema sepetu zaidi ya kudanga ana nini cha kwenye movie. .


Halafu nakuuliza tena kwanini hizo hoja zenu hamkuzileta baada ya zoezi la kuweka majina kwenye category kabla hata zoezi la kura kuanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Muvi zenyewe huangalii utajua wema ana nini? Hebu nitajie muvi mpya ya sepenga km unaijua
 
Mavazi ya Rubi siku ile kama yangekuwa meusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
images%20(8).jpeg


ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
 
Back
Top Bottom