SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

Tatizo Kubwa ninalo liona kwa Azam Media ni kutaka kufanya Jambo Kubwa Peke yao Bila Kushirikisha au kutaka kutafuta Wadau kutoka Nje ya Azam Media. Tofauti na Host aliyetoka Nje na baadhi ya nyuma ya Kamera Lakini Azam ilipaswa kuwa Chanel Namba Moja hapa Bongo lakini ndio hivyo kutaka kufanya jambo peke yake na hata Vipindi vyao Kwanini hawataki kuruhusu Vipaji kutoka nje ya Azam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…