SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

Tatizo Kubwa ninalo liona kwa Azam Media ni kutaka kufanya Jambo Kubwa Peke yao Bila Kushirikisha au kutaka kutafuta Wadau kutoka Nje ya Azam Media. Tofauti na Host aliyetoka Nje na baadhi ya nyuma ya Kamera Lakini Azam ilipaswa kuwa Chanel Namba Moja hapa Bongo lakini ndio hivyo kutaka kufanya jambo peke yake na hata Vipindi vyao Kwanini hawataki kuruhusu Vipaji kutoka nje ya Azam?
 
Mwenye picha ya Wema aweke hapa basi nicheke kidogo.
Hahaaaa Leo hiii
Subpost%201%20-%20Mastaa%20Mbalimbali%20Wakipita%20Red%20Carpet%20ya%20Tuzo%20za%20-%20SZIFF2...jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom