Halafu mwandishi unadiriki kumhoji Wema ili akwambie nini. Achana naye hoji watu wenye akili.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ukimwangalia kwa makini unaweza kusema ni Jini mkata kamba.
Wanajiona wamewin lengo waondoe utata haters watafurahi lakini Mimi nasema wamechemkaa mshindi ni monalisaa hapoo!!!
Hahaaaa!ni msaniii jamaniHalafu mwandishi unadiriki kumhoji Wema ili akwambie nini. Achana naye hoji watu wenye akili.
Mkuu unataka kazi AZAM MEDIA...??Tatizo Kubwa ninalo liona kwa Azam Media ni kutaka kufanya Jambo Kubwa Peke yao Bila Kushirikisha au kutaka kutafuta Wadau kutoka Nje ya Azam Media. Tofauti na Host aliyetoka Nje na baadhi ya nyuma ya Kamera Lakini Azam ilipaswa kuwa Chanel Namba Moja hapa Bongo lakini ndio hivyo kutaka kufanya jambo peke yake na hata Vipindi vyao Kwanini hawataki kuruhusu Vipaji kutoka nje ya Azam?
Aya akamfuate yule jamaa yake wa Burundi amtulize
Monalisa ndiye nani tena?Wanajiona wamewin lengo waondoe utata haters watafurahi lakini Mimi nasema wamechemkaa mshindi ni monalisaa hapoo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mwandishi unadiriki kumhoji Wema ili akwambie nini. Achana naye hoji watu wenye akili.
Mdada mmoja hivi mama ake nae ni msanii anaitwa natashaaMonalisa ndiye nani tena?
Monalisa alistahiliIli kuondoa utata kama mwaka Jana!!!walichonha sanaa ndo maana wamefanya hvyooo!!!
Daah!!sijui yaani ila [emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]wamenichekeshaaaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nfyyuuuuuu zakoo[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji16][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ukimwangalia kwa makini unaweza kusema ni Jini mkata kamba.
Wanajiona wamewin lengo waondoe utata haters watafurahi lakini Mimi nasema wamechemkaa mshindi ni monalisaa hapoo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akamlambe hizo lipshine.Aya akamfuate yule jamaa yake wa Burundi amtulize
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Akamlambe hizo lipshine.
Hapana Sitaki kazi Azam Media bali nazungumza kitu ambacho nakielewa Ukiangalia Baadhi ya Chanel za wenzetu Kama DSTV utaona wanaruhusu baadhi ya producer ambao sio wa kwao, Wana sponsors maproducer kutengeneza Contents za ukweli na ukiangalia unaona kabisa kazi imefanyika Hii uleta faida kwasababu Wanaotoka nje ya ofisi yako wanakuwa na jicho la Ziada Mkuu tofauti na waliopo ndani na hii hupelekea Watazamaji kutochoka kuona ladha tofauti tofauti
Oooh yule aliyeigiza kwenye filamu ya Sarafina au? [emoji15]