T.I amezichapa na Mayweather

coming to streets,ring fighters wanabugia nyingi.no formula hakuna cha "i need a clean,fair game" junior anaweza kuyamiss haya maneno.ila wote highly flammable.......
 
Tip again...shaur yake ataishia jela tena
 
Rubber Band Man -More Hustles Than Hustle Man



Rubber band man
Wild as the Taliban
9 in my right
45 in my other hand.
 
Hii kitu ya wanawake itatutoa roho. Kashimo kadogo lakini mambo yake ukicheza nayo roho huna. Hongereni akina dada na mama itunzeni idumu hiyo ndiyo ugonjwa wetu.
 
Ila TMT(siyo Hii ya kina Joti na Lulu Tanzania Movie Talent) Hii ni The Money Team Jamaa wana mipunga kinomaaa.

Usibonyeze mkuu, mayweather ana bugatti 3 manina zake yule.....wale majamaa wako level zingine aisee. Watu type zile wanakuibia mke hvi hvi unaona. LOL
 

Nimeiona ile clip...50 comedy sanaa !!He just did that to draw some heat in a funny way. T.I mtata sana yule ni vile ana body ndogo.
 
Nimeiona ile clip...50 comedy sanaa !!He just did that to draw some heat in a funny way. T.I mtata sana yule ni vile ana body ndogo.

Alafu nenda IG kwenye acc ya sipthetea yule mwehu ni mtu wa udaku kaweka video clips zote tokea source ya ugomvi waliopenda kwenye stripers club mpaka walivyozinguana..,Curtis bonge la comedian nimecheka sana anavyovunga kwa Floyd ila hii mbilinge kwa yule mtoto LA the King Tip halijaisha.
 
T.i hakupaswa kumzingua Floyd kwasababu tatizo ni mkewe kumshobokea Floyd japokuwa hii itakuwa Mara ya pili kwa Floyd kujihusisha na mke wa T.i, walikwisha zungumza Mara ya kwanza New York ila T.i ni street O.G wa ukweli na ngumi za kitaa anaziweza , Floyd ni pro boxer anatakiwa kukaa mbali na mke wa mtu hata Kama anamshobokea ila Sidhani Kama hiyo feud imeisha,Nafikiri ni issue ya wivu na Ego.
 

Sijakuelewa hapo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…