T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

T.I.D akinukisha kwa RAY C @instagram

hatukatai kwamba tid ni mgonjwa, ila kwa hili ray c katokota, angeweza mtafuta privately waongee faragha. Sidhani kama yange mkuta haya.

Tid anapost ishu kwa fan wake, afu mrugaruga anaingilia topic.
Hata mimi ningempa makavu.

Ray c aache tafuta sifa za kijinga.
.......
.,period.
Kwani kosa la Ray C ni lipi hasa?...
 
hv ray angemtafta kwa siri tid angemtukana?kwa nini amtafte kwny public ujue msimlaumu tid ila sometimes inakera..haya sporah nae maswali aliuokuwa anamuuliza yale..?nyi mlitaka amjibu vp...?dawa ya mshenzi unakua mshenzi zaidi yake baaaas....."unavuta bangi"ndo ailmuuliza hvyo!safi tid kama kalambwandaaaa...
Kwani kosa la Ray C ni lipi hasa??
 
Back
Top Bottom