Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Taa hii inatumika nje Yani ndani ya fensi ya Nyumba,nje ya Nyumba au barabarani.
Taa hii inatumia mionzi ya jua ili kujipatia chaji na pia kuchani battery za CCTV camera.
Taa hii inafanya KAZI mbili,kutoa mwanga na pia kurekodi video na sauti.
CCTV camera uliopo ktk taa hii inazunguka nyuzi360 na video Zote inarekodi pande Zote.
Video Zote utakuja UNATAZAMA kupitia app ya simu ktk simu yako ya mkononi.
Camera uliopo ktk taa inasehem ya kuchomeka line ya simu Kwa ajili ya kupata internal wifi Kwa ajili ya camera YAKO kujiungamanisha na SIMU YAKO ili uweze kuona live video na recorded video
Video Zote utaona hata ukiwa HAUPO eneo la tukio Yani nje ya mkoa,wilaya au mtaa au NCHI.
UNAWEZA kuunganisha simu zaidi ya kuona ili waweze kuona video km unavoona wewe mmiliki....hivo UNAWEZA kuunga na SIMU ya mke na ya mume na Kila mtu akawa anaona popote alipo.
Kwa mahitaji ya taa hizi wasiliana nasi.
Facebook page: Gordon Technology
Call/Whatsapp 0746373222.
MWONGOZO: Zingatia haya unapoweka tangazo lako!
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo, Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara. Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani. Vigezo vya...
Mods wa JamiiForums , hili tangazo la huyu jamaa linakiuka muongozo number 2 & 3, jamaa tumejaribu kumwambia but still anakua mbishi.
Fanyeni kazi yenu please.