Taarab: Special thread

Taarab: Special thread

embu mtu atupie ngoma ya mwanamke hulka sijui kaimba mma gani yule nliicheza sana kwenye kigodoro hii miaka ya 2008-9
 
EF03D596-CCEE-476F-B2A5-573B218A950C.png
kuna zile siku huwaga namiss taarabu nakula earphone zangu naskiliza tu maana kukuta libaba linaskiloza taarabu kwa sauti jau
79C565F0-2E95-4A47-8C59-9EEACDAA220A.png
 

Attachments

  • 206DC970-BB66-4515-8FBF-58AD74208646.png
    206DC970-BB66-4515-8FBF-58AD74208646.png
    1.2 MB · Views: 8
Mimi mwanaume mwenzangu ukishaanza kucheza huku unazungusha kidole (taarab style)lazima niweke kiulizo
 
Uswazi enzi hizo kwenye sherehe za kukesha na muziki tuliita vigodoro nyimbo za taarab zilichukua nafasi kubwa sana. Ndio zilizomtoa Msagasumu. Na ndio nyimbo zilizozaa singeli kutokana na kuweka machombezo katika wimbo wanaita radha.
 
kuna ile wanaimba

usishindane na mimi, mimi ni mzuri na utamu nnao 😂😂


na ile usione kakonda ukadhani hali namlisha wali na nyama kilo mbilo
😅😅😅😅 mi nachekaga tu....
 
Back
Top Bottom