fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
embu mtu atupie ngoma ya mwanamke hulka sijui kaimba mma gani yule nliicheza sana kwenye kigodoro hii miaka ya 2008-9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leila mzuri 🥰fatma nyoro huyu dada nmkubali ana sauti nzuri yeye ashura machupa pamoja na leila rashid
cha kujishuhulisha kwako mi sikijui aaaaaah dah dada nampenda sanaaa yuleLeila mzuri 🥰
Anakwambia jiangalie juu mpk chini kisha nambie utanisumbua nn 🤣🤣
Taarabu pekee niliyonayo kwny simu,, Naikubalii sanaaaaSi bure we umerogwa
Vituko vya makusudi
Badala ya soda baridi
Ama juice ya chungwa
Ushamba umekuzidi, andazi wanywea tongwaaa [emoji23][emoji23]
Nyimbo za ajabu sana taarabu
"Wanaume tumepewa daraja kubwa kwa Mungu, mashababi tumekuwa na kila aina ya mizungu" Wimbo V.I.P- Jahazi (Mzee Yusuph)Ninachokipenda kwenye taarab ni ule umahiri wa kucheza na lugha ya Kiswahili.
Nimejifunza misamiati mingi sana ya Kiswahili kupitia nyimbo za taarab.
To that, I tip my hat to it.
na wengine vikwereke😂😂Sasa nawapa usiaaa
Mpendapo mtazame
Wengine si wanaume
Wengine magumegume
Rusha roho taratibu
Tena nyuma utazame
😀😀😀 ila mama Zuchu. Enzi hizo hata Zuchu hajulikani
😅😅😅😅 mi nachekaga tu....kuna ile wanaimba
usishindane na mimi, mimi ni mzuri na utamu nnao 😂😂
na ile usione kakonda ukadhani hali namlisha wali na nyama kilo mbilo
Hiyo hapoembu mtu atupie ngoma ya mwanamke hulka sijui kaimba mma gani yule nliicheza sana kwenye kigodoro hii miaka ya 2008-9
aaah asante san mkuu😍😍Hiyo hapo
View attachment 2895019