Taarifa: Aina mpya ya utapeli mjini

Umesahau kuweka namba za waliotapeliwa ili vyombo husika viweze kupata ushahidi wa utapeli
 
Kuna mtu aliniletea hoja ya biashara ya maharage kwa bei karibia nusu ya bei halisi nikamwambia leta hata tani 100 nitalipa yakifika. Basi akaanza danadana mwisho ananiambia nimtumie pesa kwani sehemu imetangulia. Nikamjibu asubiri ikifika namlipa. Hadi leo (more than 5 years) bado nasubiri mzigo ufike nilipe. Kifupi usilipe pesa kizembe kwa yeyote hata kama unamfahamu utalizwa
 
Binadamu wa ajabu sana


Mtu anakupigia simu yupo mbeya anauza mayai ya jumla na wewe upo kigoma unaomba utumiwe mayai na hela unatuma duh

Mi nadhan tumpongeze aliyewatapel maana mazuzu hawaishi hapa Tanzania
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Utapeli gani sasa hapa...huo ni ujinga wa huyo mtumaji hela
 
Mbona mnatapeliwa kizembe hivi na hali ya maisha hii ilivyo!?
 
Nadhani mkuu umenena vema lengo lake ni kutapeli kumbe mtego umewekwa tayari kumkiza hiyo advance payment yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…