DOKEZO Taarifa Binafsi zinakusanywa na "Kampuni za Mikopo Mtandaoni" ni Hatarishi kwa Faragha ya Mtu

DOKEZO Taarifa Binafsi zinakusanywa na "Kampuni za Mikopo Mtandaoni" ni Hatarishi kwa Faragha ya Mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Siku hizi kumekuwa na Kampuni nyingi za Mikopo Online kama PesaX, Twiga Loan, Mloan, Cash X.

Na watu bila kuwa makini mtakuja jikuta mnaingia matatizoni kutoka na taarifa zinazokusanywa na Kampuni hizi.

Nimejaribu kadhaa na hakuna ya afadhali, unakuta inakusanya taarifa hizi:-
  • SMS - yan wanaweza kusoma sms zote zilizoingia katika namba yako uliyosajilia, hii ikujumuisha sms za miamala, mapenz, siri za familia na kadharika je unahisi upo salama?
  • CONTACTS - wanaweza kuona majina na namba zote ulizosave kwenye simu yako unahisi watu wako watakuwa salama?
  • CAMERA - hii wanaweza kurekodi au kupiga picha bila wewe kujua na hapa ndo linapokuja swala zima la connections kuvuja
  • STORAGE - wanaweza ku-access picha, video, na files zote zilizoseviwa kwenye simu yako, je unahisi wataacha kushare na wwngine siri zako?
  • APPS - wanaweza kuona app zote kwenye simu na kuzifikia, hii ikijumlisha WhatsApp, IG, app za kutunz afaragha zako n.k
  • TAARIFA BINAFSI - kama Vyeti, elimu, kazi, mahala pa kuishi, urefu, picha zako, unadhan utakuwa salama mtu kuwa na taarifa zako zote..
Ikatokea mfanyakaz akatoka hapo tayar anajua siri za wengi, na ni rahisi kuzitumia kuscam watu mitandaoni
Watanzania tuweni makini na maamuzi yetu, hizi ndo huchangia watu kudhalilika mitandaoni, na kutoa siri za watu kama history za bank, miamala, chati za siri na faragha za watu, je unahisi utakuwa salama wewe na uwapendao?.

Mamlaka ishughulikie hawa watu wanapata wapi dhamana ya kukusanya taarifa za watu kama Sensa ya Kidigitali?

Mdau weka screen ya App ya Mikopo tuone taarifa wanazokusanya kwenye Simu yako

View attachment 2939176
Umetufungua macho sasa


tunatokaje ikiwa tushaingia kwenye mfumo🤔
 
Ukishaona jambo linalalamikiwa ila lipo tu na serikali haifanyi lolote ujue mwenye jambo huenda ni sehemu ya wanaopelekewa malalamiko. Unachotakiwa kufanya, USIKOPE HUKO.
 
TAARIFA YA HABARI - AZAM TV 20/03/2024

KUHUSU MIKOPO YA MTANDAONI

video hapa hichi👎
 
TAHADHARI KUHUSU APP YEYOTE INAYOTOA MKOPO KWA MUDA YA SIKU 7. Serekali haikubali mikopo kama haya.

Tunawezakujadiliana mengi kuhusu aplikesheni hizi lakini ukweli ni kwamba watanzania wanahitaji hela na wanakopa sana. Hiyo kitu haitaisha. Lakini ngoja nitoe elimu yangu kidogo.

Nataka kutoa elimu kidogo kwa wale wanaosema hawalipi deni zao. Mimi ni mtafiti na nimesoma na kufanya utafiti kuhusu mikopo ya kidijitali.

Ni kweli kwamba siku hizi kuna aplikeshini za wachina, na wana riba kubwa na hawatoi huduma nzuri. Lakini kuna baadhi ya aplikesheni na huduma zinazoaminika na wanatoa huduma safi. Hawatumi sms kwa contacts yako kamą ukichelewa kulipa

Inabidi tujifunze kutenganisha kati ya huduma nzuri na hawa kama PesaX/CashX/MkopoWako/TwigaLoans.

Mkopo inayoanzia na siku 28 n.k zinafaa kidogo lakini hakikisha ume elewa riba na ada za ucheleweshaji.

Watu wa tanzania hawana elimu kuhusu kile kinachotoke wasiporejesha mkopo. Wanafikiri wapo smart na hakuna kitakachofanyika, ila hizi app zinachukua NIDA yako na kuripoti taarifa hizo kwenye credit bureau. Credit bureau ni shirika inayosanya data kuhusu ulipaji wa madeni kutoka mikopo ya kidijitali na benki zote.

Ofisi hizi za credit bureau zina jukumu la kukupa alama kulingana na tabia yako ya kukopa, ili kujua kama unaaminika au la.

Sasa hasara za kukopa zitakapo ongezeka sana, hizi makampuni wataanza kupata taarifa kutoka kwa credit bureau ili kabla ya kukupa mkopo waangalie kama unamadeni.

Siku za hivi karibuni, kila mtu ambaye amecheza na mikopo hii na kukimbia bila kulipa atawekwa kwenye orodha na hataweza kukopa tena.

Kwa hivyo jihadhari, usichukue mkopo kwa kujifurahisha na ulipe mkopo wako kwa wakati au hata ukichelewesha, hakikisha umeurudisha.
 
TAHADHARI KUHUSU APP YEYOTE INAYOTOA MKOPO KWA MUDA YA SIKU 7. Serekali haikubali mikopo kama haya.

Tunawezakujadiliana mengi kuhusu aplikesheni hizi lakini ukweli ni kwamba watanzania wanahitaji hela na wanakopa sana. Hiyo kitu haitaisha. Lakini ngoja nitoe elimu yangu kidogo.

Nataka kutoa elimu kidogo kwa wale wanaosema hawalipi deni zao. Mimi ni mtafiti na nimesoma na kufanya utafiti kuhusu mikopo ya kidijitali.

Ni kweli kwamba siku hizi kuna aplikeshini za wachina, na wana riba kubwa na hawatoi huduma nzuri. Lakini kuna baadhi ya aplikesheni na huduma zinazoaminika na wanatoa huduma safi. Hawatumi sms kwa contacts yako kamą ukichelewa kulipa

Inabidi tujifunze kutenganisha kati ya huduma nzuri na hawa kama PesaX/CashX/MkopoWako/TwigaLoans.

Mkopo inayoanzia na siku 28 n.k zinafaa kidogo lakini hakikisha ume elewa riba na ada za ucheleweshaji.

Watu wa tanzania hawana elimu kuhusu kile kinachotoke wasiporejesha mkopo. Wanafikiri wapo smart na hakuna kitakachofanyika, ila hizi app zinachukua NIDA yako na kuripoti taarifa hizo kwenye credit bureau. Credit bureau ni shirika inayosanya data kuhusu ulipaji wa madeni kutoka mikopo ya kidijitali na benki zote.

Ofisi hizi za credit bureau zina jukumu la kukupa alama kulingana na tabia yako ya kukopa, ili kujua kama unaaminika au la.

Sasa hasara za kukopa zitakapo ongezeka sana, hizi makampuni wataanza kupata taarifa kutoka kwa credit bureau ili kabla ya kukupa mkopo waangalie kama unamadeni.

Siku za hivi karibuni, kila mtu ambaye amecheza na mikopo hii na kukimbia bila kulipa atawekwa kwenye orodha na hataweza kukopa tena.

Kwa hivyo jihadhari, usichukue mkopo kwa kujifurahisha na ulipe mkopo wako kwa wakati au hata ukichelewesha, hakikisha umeurudisha.
Nilienda kuuliza utaratibu wa kukopa simu sehemu nikaambiwa,sharti lwa kwanza nisiwe na mkopo sehemu yoyote,iwe bank,kampuni nyingine za mikopo ya simu,wala mikopo online,nikaondoka.

Nilipokwenda ktk simu za samsung sikukutana na shart hilo,wale wa awali niliwashangaa lakini nikatafakari labda ndio namna bora wameona ni salama kujihakikishia malipo ya simu yao,lakini nikaona mbona wanakosa wateja kwa mashart ya kijinga,kweli kuna watu wana mikopo chefu chefu kwenye hivyo vitaasisi vya kiosk,lakini vipi kwa watu wenye mikopk rasmj kutoka ktk taasisi zinazoeleweka na hawana historia mbaya ya kutorejesha???

JUkumu a mkopeshaji ni kuhakikisha kwa namna yoyote anatoa mkopo akiwa na uhakika 100% utarejeshwa bila msuguano na mkopeshwaji sio ategemee huruma ya mkopaji,
Utaghairi kumkopesha sababu hana historia nzuri,nayeye ataangalia wapi kuna kampuni inayoweza kumpa kwa hali hiyo hiyo bila tatizo.
 
ALAFU HATA UKIWASHALIPA WANASUMBUA ETI KOPA TENA. YAANI KITENDO CHA KUA NA NAMB ZAKO NI MAKOSA MAKUBWA. WANASUMBUA HADI NDGU ETI KOPA USTAWI LOAN, SIJUI BOBA CASH 🤣🤣🤣
 
Siku hizi kumekuwa na Kampuni nyingi za Mikopo Online kama PesaX, Twiga Loan, Mloan, Cash X.

Na watu bila kuwa makini mtakuja jikuta mnaingia matatizoni kutoka na taarifa zinazokusanywa na Kampuni hizi.

Nimejaribu kadhaa na hakuna ya afadhali, unakuta inakusanya taarifa hizi:-
  • SMS - yan wanaweza kusoma sms zote zilizoingia katika namba yako uliyosajilia, hii ikujumuisha sms za miamala, mapenz, siri za familia na kadharika je unahisi upo salama?
  • CONTACTS - wanaweza kuona majina na namba zote ulizosave kwenye simu yako unahisi watu wako watakuwa salama?
  • CAMERA - hii wanaweza kurekodi au kupiga picha bila wewe kujua na hapa ndo linapokuja swala zima la connections kuvuja
  • STORAGE - wanaweza ku-access picha, video, na files zote zilizoseviwa kwenye simu yako, je unahisi wataacha kushare na wwngine siri zako?
  • APPS - wanaweza kuona app zote kwenye simu na kuzifikia, hii ikijumlisha WhatsApp, IG, app za kutunz afaragha zako n.k
  • TAARIFA BINAFSI - kama Vyeti, elimu, kazi, mahala pa kuishi, urefu, picha zako, unadhan utakuwa salama mtu kuwa na taarifa zako zote..
Ikatokea mfanyakaz akatoka hapo tayar anajua siri za wengi, na ni rahisi kuzitumia kuscam watu mitandaoni
Watanzania tuweni makini na maamuzi yetu, hizi ndo huchangia watu kudhalilika mitandaoni, na kutoa siri za watu kama history za bank, miamala, chati za siri na faragha za watu, je unahisi utakuwa salama wewe na uwapendao?.

Mamlaka ishughulikie hawa watu wanapata wapi dhamana ya kukusanya taarifa za watu kama Sensa ya Kidigitali?

Mdau weka screen ya App ya Mikopo tuone taarifa wanazokusanya kwenye Simu yako

View attachment 2939176
Kwahiyo ukikopa app ndio inakuomba access kwenye hivyo vitu?? Je ukikataa kutoa permission?? Wao watapata vipi taarifa zako??
 
dawa yao una nunua ile laini za tuma namba hii za matapeli unaombea mkopo alafu contact unasave na picha unaweka namba za serikali,polisi, mawaziri na wakubwa tiss binafsi na kwenye storage weka picha za viongozi paspport size na mapolisi.

wakikudai niite babu wa shetani
Uliwaza mbali sana
 
Back
Top Bottom