Taarifa dhidi ya uzushi unaosambaa mitandaoni kuhusu kampuni ya TTCL

Taarifa dhidi ya uzushi unaosambaa mitandaoni kuhusu kampuni ya TTCL

TTCL Customer Care

Official Account
Joined
Aug 18, 2016
Posts
279
Reaction score
317
Kumekuwa na baadhi ya watu kupost picha ya Ttcl ikiwa na ujumbe unaosomeka TIA TUKUTIE.

tmp-cam--1357785664.jpg


tmp-cam-1606945928.jpg
 
Nadhani TCRA, hilo tangazo la tigo "CHA ASUBUHI"wanatakiwa wali pige stop, tu, kwani kwa mtu mzima anajua tu ni nini, japo wao watajitetea vingine, lakini waambiwe tu ktk jamii yetu sio neno zuri basi!!Ndio maana sasa limezushwa hilo jingine!!
 
TTCL tulieni acheni kuhamaki hovyo hovyo.

Boresheni huduka yote hayo yatapotea kwa wateja wenu.
Mkuu umekurupushwa huko nini?!!kwani ulichokiandika hata hakihusiani na mada!!hata kama ni "kichwa kichafu" isiwe sababu ya kuachwa tu , hata bubu kuna kipindi mkong'oto unazidi anazungumza vizuri!!wao wametoa taarifa kuwa hilo tangazo ni fake hawana kitu kama hicho, unadakia eti "boresheni huduma zenu"!!! Sasa kuna uhusiano gani?
 
Mkuu umekurupushwa huko nini?!!kwani ulichokiandika hata hakihusiani na mada!!hata kama ni "kichwa kichafu" isiwe sababu ya kuachwa tu , hata bubu kuna kipindi mkong'oto unazidi anazungumza vizuri!!wao wametoa taarifa kuwa hilo tangazo ni fake hawana kitu kama hicho, unadakia eti "boresheni huduma zenu"!!! Sasa kuna uhusiano gani?
Anakuja
 
Nadhani TCRA, hilo tangazo la tigo "CHA ASUBUHI"wanatakiwa wali pige stop, tu, kwani kwa mtu mzima anajua tu ni nini, japo wao watajitetea vingine, lakini waambiwe tu ktk jamii yetu sio neno zuri basi!!Ndio maana sasa limezushwa hilo jingine!!
Kuna lile la "KIMOJA HAKITOSHI" yaani ubinifu umeisha yamebaki matusi!!!
 
Back
Top Bottom