TTCL Customer Care
Official Account
- Aug 18, 2016
- 279
- 317
Kumekuwa na baadhi ya watu kupost picha ya Ttcl ikiwa na ujumbe unaosomeka TIA TUKUTIE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia basiTTCL tulieni acheni kuhamaki hovyo hovyo.
Boresheni huduka yote hayo yatapotea kwa wateja wenu.
Mkuu umekurupushwa huko nini?!!kwani ulichokiandika hata hakihusiani na mada!!hata kama ni "kichwa kichafu" isiwe sababu ya kuachwa tu , hata bubu kuna kipindi mkong'oto unazidi anazungumza vizuri!!wao wametoa taarifa kuwa hilo tangazo ni fake hawana kitu kama hicho, unadakia eti "boresheni huduma zenu"!!! Sasa kuna uhusiano gani?TTCL tulieni acheni kuhamaki hovyo hovyo.
Boresheni huduka yote hayo yatapotea kwa wateja wenu.
AnakujaMkuu umekurupushwa huko nini?!!kwani ulichokiandika hata hakihusiani na mada!!hata kama ni "kichwa kichafu" isiwe sababu ya kuachwa tu , hata bubu kuna kipindi mkong'oto unazidi anazungumza vizuri!!wao wametoa taarifa kuwa hilo tangazo ni fake hawana kitu kama hicho, unadakia eti "boresheni huduma zenu"!!! Sasa kuna uhusiano gani?
Boya ww😂
Tumefikaje hapa?nyie ni WA hapa hapa,lakini mmezidiwa na makampuni yaliyowakuta!!!!Kumekuwa na baadhi ya watu kupost picha ya Ttcl ikiwa na ujumbe unaosomeka TIA TUKUTIE.
View attachment 1829984
View attachment 1829985
Na kwako pia mzee babaBoya ww😂
Wapo sana tu, unataka wamende wapi?hivi hawa nao wapo bado? mtatia huruma hadi lini? boresheni hili shirika, au mliopewa wadhifa hamna uwezo?
Du aiseee
Kuna lile la "KIMOJA HAKITOSHI" yaani ubinifu umeisha yamebaki matusi!!!Nadhani TCRA, hilo tangazo la tigo "CHA ASUBUHI"wanatakiwa wali pige stop, tu, kwani kwa mtu mzima anajua tu ni nini, japo wao watajitetea vingine, lakini waambiwe tu ktk jamii yetu sio neno zuri basi!!Ndio maana sasa limezushwa hilo jingine!!
🤣🤣🤣TTCL tulieni acheni kuhamaki hovyo hovyo.
Boresheni huduma yote hayo yatapotea kwa wateja wenu.
Smile wembamba kama wembe😂😆🤣Tumefikaje hapa?nyie ni WA hapa hapa,lakini mmezidiwa na makampuni yaliyowakuta!!!!
View attachment 1965116
Boya ww[emoji23]