Waamshwe tu hakuna namnaPoleni sana...
Mshaoneshwa njia fanyeni kweli sasa...
Nadhani TCRA, hilo tangazo la tigo "CHA ASUBUHI"wanatakiwa wali pige stop, tu, kwani kwa mtu mzima anajua tu ni nini, japo wao watajitetea vingine, lakini waambiwe tu ktk jamii yetu sio neno zuri basi!!Ndio maana sasa limezushwa hilo jingine!!
TTCL Customer Care mnayumba sana, skuiz mtandao wenu mawimbi yake yanayumba, mpaka utulize sim juu ya meza hata kama ni ya mkononi ndo mtandao ushike. Mbona mitandao mengine iko fresh tuu, kwani ninyi mnafeli wapi?Kumekuwa na baadhi ya watu kupost picha ya Ttcl ikiwa na ujumbe unaosomeka TIA TUKUTIE.
View attachment 1829984
View attachment 1829985
Hata hivyo kuna ubaya gani wa kutumia hilo neno hata kama?Kumekuwa na baadhi ya watu kupost picha ya Ttcl ikiwa na ujumbe unaosomeka TIA TUKUTIE.
View attachment 1829984
View attachment 1829985
Nadhani TCRA, hilo tangazo la tigo "CHA ASUBUHI"wanatakiwa wali pige stop, tu, kwani kwa mtu mzima anajua tu ni nini, japo wao watajitetea vingine, lakini waambiwe tu ktk jamii yetu sio neno zuri basi!!Ndio maana sasa limezushwa hilo jingine!!
TTCL tulieni acheni kuhamaki hovyo hovyo.
Boresheni huduma yote hayo yatapotea kwa wateja wenu.
π π π