Taarifa fupi juu ya kwanini SIMBA walizuiwa kuingia uwanjani -Lupaso

Taarifa fupi juu ya kwanini SIMBA walizuiwa kuingia uwanjani -Lupaso

Alfajiri ya Ijumaa chap , kiongozi mkubwa wa SSC anapokea simu kutoka kwa moja ya chawa wake ndani ya Yangakwenye kamati ya ufundi kuwa kuna aina ya Vitimbi na takataka zimefukiwa pande zote mbili pamoja na sehemu za kupitia.wachezaji , akaainisha maeeneo yote, haya yaliambatana na ushahidi wa picha wakati wakifanya hayo matukio.

Baadae walinzi wa uwanja pamoja na Meneja wakapewa chai na wakaambiwa jua likishazama tu na baada ya magharibi asiingie mtu yoyote ndani ya uwanja. Wale jamaa wakapokea chao na maelezo.

Ndani ya SSC zile clip zilizotumwa pamoja na picha zikapelekwa kwa kamati ya Ufundi, kamati kupitia mtaalam wao akasema takataka hizi lazima zitolewe USIKU kwenye hatua za mwisho. Hivyo ikqkubaliwa mazoezi yapelekwe late evening, wakati mazoezi yakiwa yanaendelea…. Wataalam watoe uchafu uliowekwa na Yanga….. maeneo yote yalikuwa yameshajulikana.

wakati huo Yanga inapokea simu jioni kuwa hadi sasa SSC haijatokea na hatujapewa info zozote; - Yanga wakasisitiza kama hadi sasa hawajaja, basi msiruhusu yoyote as we spoke.

Saa tatu MNYAMA anaibuka kimya kimya LUPASO , Yanga inapewa info SSC imefika…. ; wakasisitiza wasiruhusiwe.

Ikawa kwa namna yoyote SSC asingeruhusiwa na hakukuwa na logic kwanini SSC asiruhusiwe? Kwani unampangia mtu muda wa kufanya mazoezi? au sheria ilisema mwisho wa mazoezi ni saa ngapi?

Behind the scene, kamati ya Yanga kupitia viongozi wao wakasisitiza kuwa kuna uwezekano SSC imestuka na wanaendea kutibua vile vitimbi…. wakiruhusiwa muda huu….. mnyama atashinda game. Kwa sababu hawaendi kwa lengo la mazoezi bali kutegua mabomu.

Basi SSC ikapigwa KOMEO hakuna kuingia, mmoja wa walinzi alitaka kuwaruhusu SSC , yule jamaa mwingine alimuita jamaa kando, haijulikani waliongea nini lakini nae akaendelea kukaza baada ya maongezi.

SSC iliuliza Swali.. kwanini hamtaki tuingie? walijibiwa taa hazipo sawa!!

SSC ikasema sawa, na game ya kesho mtachezaji nyie….. wakasepa!

Viongozi wa Yanga wakasema big up kama wamesepa…..hawakujua plan ya SSC.

Naishauri Bodi ya Ligi ifuatilie huu mchakato, TAKUKURU wahusishwe, mawasiliano ya Viongozi wa Yanga, walinzi wa Lupaso na mawasiliano ya Meneja yachunguzwe.Hatuwezi kuwa na mpira unaoendeshwa kishirikina.

SSC watume clip kwenda bodi ya ligi zinazoonesha Yanga ikifanya mambo ya Sihri na vitimbi, mechi za CAF mazoezi yanapigwa hadi saa tano usiku, iweje Yanga kwa kushirikiana na Meneja mkataze watu kucheza mazoezi saa tatu?
Mambo ya wachawi wa pangani waliomtuma hersi saidi.

Washindwe na walegee.
 
Kama hii ndiyo taarifa fupi, Ndefu itakuwaje?

Rage ajengewe sanamu
 
Unajua umeonesha wapi ujinga wako zaidi? Uliposema unasisitiza hatuwezi kuwa na mpira unaoendeshwa kishirikina alafu hapo hapo unasifia simba kwenda kutegua mabomu kitendo ambacho kimsingi ni ushirikina
 
Saa tatu MNYAMA anaibuka kimya kimya LUPASO , Yanga inapewa info SSC imefika…. ; wakasisitiza wasiruhusiwe.
Mbongo kila tukio lazima aitungie stori halafu atajifanya za ndani kabisa. Watu wamewaona Simba wamefika uwanja wa Mkapa saa moja na dakika 20 na kuondoka saa tatu baada ya kuzuiliwa, wewe unatudanganya eti saa tatu Simba ndio wamefika Lupaso.
 
Alfajiri ya Ijumaa chap , kiongozi mkubwa wa SSC anapokea simu kutoka kwa moja ya chawa wake ndani ya Yangakwenye kamati ya ufundi kuwa kuna aina ya Vitimbi na takataka zimefukiwa pande zote mbili pamoja na sehemu za kupitia.wachezaji , akaainisha maeeneo yote, haya yaliambatana na ushahidi wa picha wakati wakifanya hayo matukio.

Baadae walinzi wa uwanja pamoja na Meneja wakapewa chai na wakaambiwa jua likishazama tu na baada ya magharibi asiingie mtu yoyote ndani ya uwanja. Wale jamaa wakapokea chao na maelezo.

Ndani ya SSC zile clip zilizotumwa pamoja na picha zikapelekwa kwa kamati ya Ufundi, kamati kupitia mtaalam wao akasema takataka hizi lazima zitolewe USIKU kwenye hatua za mwisho. Hivyo ikqkubaliwa mazoezi yapelekwe late evening, wakati mazoezi yakiwa yanaendelea…. Wataalam watoe uchafu uliowekwa na Yanga….. maeneo yote yalikuwa yameshajulikana.

wakati huo Yanga inapokea simu jioni kuwa hadi sasa SSC haijatokea na hatujapewa info zozote; - Yanga wakasisitiza kama hadi sasa hawajaja, basi msiruhusu yoyote as we spoke.

Saa tatu MNYAMA anaibuka kimya kimya LUPASO , Yanga inapewa info SSC imefika…. ; wakasisitiza wasiruhusiwe.

Ikawa kwa namna yoyote SSC asingeruhusiwa na hakukuwa na logic kwanini SSC asiruhusiwe? Kwani unampangia mtu muda wa kufanya mazoezi? au sheria ilisema mwisho wa mazoezi ni saa ngapi?

Behind the scene, kamati ya Yanga kupitia viongozi wao wakasisitiza kuwa kuna uwezekano SSC imestuka na wanaendea kutibua vile vitimbi…. wakiruhusiwa muda huu….. mnyama atashinda game. Kwa sababu hawaendi kwa lengo la mazoezi bali kutegua mabomu.

Basi SSC ikapigwa KOMEO hakuna kuingia, mmoja wa walinzi alitaka kuwaruhusu SSC , yule jamaa mwingine alimuita jamaa kando, haijulikani waliongea nini lakini nae akaendelea kukaza baada ya maongezi.

SSC iliuliza Swali.. kwanini hamtaki tuingie? walijibiwa taa hazipo sawa!!

SSC ikasema sawa, na game ya kesho mtachezaji nyie….. wakasepa!

Viongozi wa Yanga wakasema big up kama wamesepa…..hawakujua plan ya SSC.

Naishauri Bodi ya Ligi ifuatilie huu mchakato, TAKUKURU wahusishwe, mawasiliano ya Viongozi wa Yanga, walinzi wa Lupaso na mawasiliano ya Meneja yachunguzwe.Hatuwezi kuwa na mpira unaoendeshwa kishirikina.

SSC watume clip kwenda bodi ya ligi zinazoonesha Yanga ikifanya mambo ya Sihri na vitimbi, mechi za CAF mazoezi yanapigwa hadi saa tano usiku, iweje Yanga kwa kushirikiana na Meneja mkataze watu kucheza mazoezi saa tatu?
Uwongo wako unaanzia hapo kwenye 51mba kufika eneo la nje ya uwanja saa 3 usiku..!!!
 
Alfajiri ya Ijumaa chap , kiongozi mkubwa wa SSC anapokea simu kutoka kwa moja ya chawa wake ndani ya Yangakwenye kamati ya ufundi kuwa kuna aina ya Vitimbi na takataka zimefukiwa pande zote mbili pamoja na sehemu za kupitia.wachezaji , akaainisha maeeneo yote, haya yaliambatana na ushahidi wa picha wakati wakifanya hayo matukio.

Baadae walinzi wa uwanja pamoja na Meneja wakapewa chai na wakaambiwa jua likishazama tu na baada ya magharibi asiingie mtu yoyote ndani ya uwanja. Wale jamaa wakapokea chao na maelezo.

Ndani ya SSC zile clip zilizotumwa pamoja na picha zikapelekwa kwa kamati ya Ufundi, kamati kupitia mtaalam wao akasema takataka hizi lazima zitolewe USIKU kwenye hatua za mwisho. Hivyo ikqkubaliwa mazoezi yapelekwe late evening, wakati mazoezi yakiwa yanaendelea…. Wataalam watoe uchafu uliowekwa na Yanga….. maeneo yote yalikuwa yameshajulikana.

wakati huo Yanga inapokea simu jioni kuwa hadi sasa SSC haijatokea na hatujapewa info zozote; - Yanga wakasisitiza kama hadi sasa hawajaja, basi msiruhusu yoyote as we spoke.

Saa tatu MNYAMA anaibuka kimya kimya LUPASO , Yanga inapewa info SSC imefika…. ; wakasisitiza wasiruhusiwe.

Ikawa kwa namna yoyote SSC asingeruhusiwa na hakukuwa na logic kwanini SSC asiruhusiwe? Kwani unampangia mtu muda wa kufanya mazoezi? au sheria ilisema mwisho wa mazoezi ni saa ngapi?

Behind the scene, kamati ya Yanga kupitia viongozi wao wakasisitiza kuwa kuna uwezekano SSC imestuka na wanaendea kutibua vile vitimbi…. wakiruhusiwa muda huu….. mnyama atashinda game. Kwa sababu hawaendi kwa lengo la mazoezi bali kutegua mabomu.

Basi SSC ikapigwa KOMEO hakuna kuingia, mmoja wa walinzi alitaka kuwaruhusu SSC , yule jamaa mwingine alimuita jamaa kando, haijulikani waliongea nini lakini nae akaendelea kukaza baada ya maongezi.

SSC iliuliza Swali.. kwanini hamtaki tuingie? walijibiwa taa hazipo sawa!!

SSC ikasema sawa, na game ya kesho mtachezaji nyie….. wakasepa!

Viongozi wa Yanga wakasema big up kama wamesepa…..hawakujua plan ya SSC.

Naishauri Bodi ya Ligi ifuatilie huu mchakato, TAKUKURU wahusishwe, mawasiliano ya Viongozi wa Yanga, walinzi wa Lupaso na mawasiliano ya Meneja yachunguzwe.Hatuwezi kuwa na mpira unaoendeshwa kishirikina.

SSC watume clip kwenda bodi ya ligi zinazoonesha Yanga ikifanya mambo ya Sihri na vitimbi, mechi za CAF mazoezi yanapigwa hadi saa tano usiku, iweje Yanga kwa kushirikiana na Meneja mkataze watu kucheza mazoezi saa tatu?
Acha story za kijiweni! Sababu ya simba kwenda kufanya mazoezi usiku na bila taarifa ilikuwa ni moja tu! Wazuiliwe kuingia, ili wapate kisingizio cha kususia mechi baada ya kufanya tathmini ya kina na kugundua wangeangushiwa kichapo cha mbwa mwizi.

Sidhani kama kuna sababu nyingine yenye mashiko zaidi ya hii.
 
Acha story za kijiweni! Sababu ya simba kwenda kufanya mazoezi usiku na bila taarifa ilikuwa ni moja tu! Wazuiliwe kuingia, ili wapate kisingizio cha kususia mechi baada ya kufanya tathmini ya kina na kugundua wangeangushiwa kichapo cha mbwa mwizi.

Sidhani kama kuna sababu nyingine yenye mashiko zaidi ya hii.
Nonsense
 
Mnatumia muda mwingi kuandika upuuzi, Wakati wa usajili mlisha ambiwa fanyeni usajili wa uhakika mka puuza.
Ona sasa mnavyo dhalilika , Tff wamewabeba kwenye marefa sasa wana wabeba kwenye kanuni

Mwisho wa siku lazima mtacheza na Yanga na kile kipigo mlicho kwepa kwa kukimbia bado kipo kimehifadhiwa na akiharibiki.

Ina subiriwa tarehe tu kiwe Active.
Hii timu inaendeshwa kihuni sana. Wamesahau wamefungwa mechi nne mfululizo na hao wachezaji wao ambao wangekosekana ile juzi! Yaani wakubali tu hata hiyo mechi ikirudiwa kutokana na utoto wao wa kususia, na pia kulindwa na Bodi ya ligi; bado watafungwa tu.
 
Acha story za kijiweni! Sababu ya simba kwenda kufanya mazoezi usiku na bila taarifa ilikuwa ni moja tu! Wazuiliwe kuingia, ili wapate kisingizio cha kususia mechi baada ya kufanya tathmini ya kina na kugundua wangeangushiwa kichapo cha mbwa mwizi.

Sidhani kama kuna sababu nyingine yenye mashiko zaidi ya hii.
Mbona umejivua heshima ww mzee jamani...hata sheria za mpira huzijui au? SIMBA imefika saa moja uwanjani na kanuni zinamtaka au zinamfeva mgeni kufanya mazoeizi muda ule atakaocheza mechi..
Mbona utopolo unawatopoa kabisa akili zenu...
Kuna ushahid wa kila namna Simba kufika pale saa moja...na kuondoka saa tatu
Nyie ndo mliogopa kupigwa kipigo cha mbwa koko..mkafanya ya kufanya ili simba isuse.....kama sio kuvundika majanaba uwanjani...mkajua leo wakija hawa wataondoa vi mzizi..
Uwiiiiiiiiiiiii
 
Mbona umejivua heshima ww mzee jamani...hata sheria za mpira huzijui au? SIMBA imefika saa moja uwanjani na kanuni zinamtaka au zinamfeva mgeni kufanya mazoeizi muda ule atakaocheza mechi..
Mbona utopolo unawatopoa kabisa akili zenu...
Kuna ushahid wa kila namna Simba kufika pale saa moja...na kuondoka saa tatu
Nyie ndo mliogopa kupigwa kipigo cha mbwa koko..mkafanya ya kufanya ili simba isuse.....kama sio kuvundika majanaba uwanjani...mkajua leo wakija hawa wataondoa vi mzizi..
Uwiiiiiiiiiiiii
Sasa kulikuwa kuna ugumu gani wa kutoa taarifa kwa wenyeni wenu, na kuchagua kwenda kimya kimya?
Na sababu ya kuzuiliwa kufanya hayo mazoezi siku ya mwisho ndiyo yasababishe msusie mechi iliyotangazwa kwa zaidi ya mwezi!

Nyinyi semeni tu mliogopa kichapo.
 
Sasa kulikuwa kuna ugumu gani wa kutoa taarifa kwa wenyeni wenu, na kuchagua kwenda kimya kimya?
Na sababu ya kuzuiliwa kufanya hayo mazoezi siku ya mwisho ndiyo yasababishe msusie mechi iliyotangazwa kwa zaidi ya mwezi!

Nyinyi semeni tu mliogopa kichapo.
Ww hatupelekeshwi aiseee...kama mlikua mna uhakika wa kufunga why muanze kuhara mapema?? Aisee mna bahati sana ilikua ni kilio jangwani jmos..
Kwaheri
 
Kutofuata kanuni na sheria Tanzania ni jambo la kawaida, Si kwenye mpira tu bali hadi kwenye siasa.
Haya ya Yanga na Simba ni matokeo ya tatizo.
 
Back
Top Bottom