Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Sio kwamba mmeikabidhi bali mmeporwa kila kitu na huyo mnayetaka kumpa mitano tena...
Sasa ni mwendo wa kukatwa kiu na mama.....
Upo tayari kuendelea kuwa chini ya himaya ya wezi wauaji na wanyang'anyi?
Sasa ni mwendo wa kukatwa kiu na mama.....
Upo tayari kuendelea kuwa chini ya himaya ya wezi wauaji na wanyang'anyi?
Hatuna kongozi kwa sasa bali tumeikabidhi Tanganyika yetu Kwa dalali wa kike