Taarifa hii ya TANESCO ni kielelezo cha kukosa weledi hasa wa mawasiliano

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825

Hivi TANESCO wamesahau kwamba
  1. Nyakato Mwanza wana MW 60 kwanini 36 MW? 24MW zimekwama wapi?
  2. Mitambo ya maji iko kwenye ukanda ambao mvua hazijaanza kunyesha? Wanafikiri wayu wa Dar es Salaam watawaelewa wakiwambia mvua hazipo?
 
Vijana tuna stress sana aisee🤣🤣. Huu unaitwa mkurupuko.com daadekii,
 
Mkuu hii taarifa ni 2021 November kipindi cha kipara…! Sasa hivi mvua zinanyesha hakuwezi kuwa na taarifa ya kijinga kama hiyo! Mkuu umeangalia mwezi na tarehe badala ya mwaka!
Pole kwa usumbufu

Cc Moderator
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…