Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

Stone Town

Senior Member
Joined
May 28, 2007
Posts
114
Reaction score
26

Na pia


Kama ni za kweli, basi Zanzibar pameshakuwa pagumu sasa

UPDATE:

 
Issue yao ya kupiga kura usiku huu kwenye masanduku yao wanayoyaleta usiku ndiyo yameleta maafa! Wana ulinzi wa askari na wanajeshi. Raia wamekaza hawataki ushenzi wanafyatua risasi na mabomu ya machozi na kuna raia wamekufa.
 
Issue yao ya kupiga kura usiku huu kwenye masanduku yao wanayoyaleta usiku ndiyo yameleta maafa! Wana ulinzi wa askari na wanajeshi. Raia wamekaza hawataki ushenzi wanafyatua risasi na mabomu ya machozi na kuna raia wamekufa.
Wapi huko?
 
Issue yao ya kupiga kura usiku huu kwenye masanduku yao wanayoyaleta usiku ndiyo yameleta maafa! Wana ulinzi wa askari na wanajeshi. Raia wamekaza hawataki ushenzi wanafyatua risasi na mabomu ya machozi na kuna raia wamekufa.
Askari mmoja anapiga kura mara 6 au zaidi kwa Mwinyi halafu zinasambazwa kwenye vituo mbalimbali usiku huu.

Uchaguzi wa Zenji umeshaharibika.
 
Wanajeshi wetu kweli mnatuua kweli!! Mnatusaliti kisa watu wachache? Zanzibar Leo ni Usiku wa (Mashahid) Mtazilipa hizi nafsi hakika, Ewe Mola wetu Sisi waja wako Hatuna Silaha zozote Wanyonge na Wadhaifu.Tunateseka na wenye Silaha nzito za moto tena tukiwa tunawalipa mishahara kwa kodi zetu Allah Pigana na Wanao pigana nasi Allah Sema na wanao sema nasi Allah tutetee waja wako #Zanzibarlivesmatter
 

Na pia


Kama ni za kweli, basi Zanzibar pameshakuwa pagumu sasa
Walikwisha panga njama za kumvurugia Magufuli dreams zake za kuivusha Tanzania. Kwanini wasisubiri matokeo yatoke?
 
Back
Top Bottom