Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

Ufe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa

Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Kangagani pekee waliyokufa kwa kupigwa risasi ni 3 usiku huu.

Sasa usijaribu kunitibua! Najisikia kufa na siogopi kufa!
 
#ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter #ZanzibarLivesMatter
 
Wamekufa kishujaa na daima watakumbukwa. Wapumzike kwa amani.
Watakumbukwa na nani kwani nyie hamwandamanii mnasakizia wenzenu wafeee mjifanye wamekufa kishujaaa. Ukihatarisha Amani ya watu ni lazima uwajibike
 
Najihisi kama nimeshapoteza uhai. Naomba Mungu atupe njia bora zaidi ya kuondoa hii dhulma.
Hahaha Kupoteza Uhai sio Kazi Ndogo wewe endelea kukaa nyuma ya Keyboard broo Changia Changia tu
 
Back
Top Bottom