Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

Issue yao ya kupiga kura usiku huu kwenye masanduku yao wanayoyaleta usiku ndiyo yameleta maafa! Wana ulinzi wa askari na wanajeshi. Raia wamekaza hawataki ushenzi wanafyatua risasi na mabomu ya machozi na kuna raia wamekufa.

Poleni sana Ndugu zetu huko Zanzibari yote hii ni tamaa ya Madaraka, majeshi mengi hasa Afrika hutumika sana na walio madarakani huu umekuwa Ugonjwa mkubwa sana.
 
Mimi nimeridhika na kashamba changu huku kijijini

Eti unakosa amani kwa sababu ya mbunge fulani ashinde... Hell No!
Hahaha Kupoteza Uhai sio Kazi Ndogo we endelea kukaa nyuma ya Keyboard broo Changia Changia tu
 
Uisilam ni Dini ya haki, kwa Nini waislam wenyewe kwa wenyewe mnafanyiana hivi? Hii yote kwa ajili ya uroho wa madaraka, halafu Bado viongozi wa dini wamekaa na watakaa kimya.
 
Uisilam ni Dini ya haki,kwa Nini waisilam wenyewe kwa wenyewe mnafanyiana hivi?hii yote kwa ajili ya uroho wa madaraka,halafu Bado viongozi wa dini wamekaa,na watakaa kimya,kazi kumtumikia huyu fedhuli

Mkuu, huu Uchaguzi watakao kufa kwa ajili yake ni wengi sana. Viongozi wa Dini ndio hao umewaona wanakula na Mafarisayo Meza moja kuna nini tena hapo !!?
 
Magufuli na CCM wanaharibu hili taifa, wanayoyafanya visiwani sio utu kabisa, mpaka sasa hivi kuna report zaidi ya watu 5 wamefariki kwa kupigwa risasi, hii siyo fair kabisa

Ina sikitisha sana.
 
Issue yao ya kupiga kura usiku huu kwenye masanduku yao wanayoyaleta usiku ndiyo yameleta maafa! Wana ulinzi wa askari na wanajeshi. Raia wamekaza hawataki ushenzi wanafyatua risasi na mabomu ya machozi na kuna raia wamekufa.
Yaani mkuu mimi nipo Tanganyika huku, imeniuma sana, ujinga wao halafu watu wanadai haki zao unawapiga risasi, hii ni haki jamani, nazidi kuichukia CCM na watu wake
 
Wamekufa wako pigs is haki
Zitto Kabwe katoa Number ya Matekani akiandika FICHUA UCHAGUZI dah nimejiuliza Sana Why American Number Hawa Mabwege Ndio wanatakiwa kuwekwa ndani maana in dharau na kushikiza kwa mabeberu uvunjifu Wa amani MAGUFULI SIMAMA IMALA USIYUMBISHWE TULINDE MZEE WETU
 
Zitto Kabwe katoa Number ya Matekani akiandika FICHUA UCHAGUZI dah nimejiuliza Sana Why American Number Hawa Mabwege Ndio wanatakiwa kuwekwa ndani maana in dharau na kushikiza kwa mabeberu uvunjifu Wa amani MAGUFULI SIMAMA IMALA USIYUMBISHWE TULINDE MZEE WETU
Magufuli amesha legea na ataachia madaraka kwa aibu.
 
Upo kijijini wapi wakati upo ofisi za CCM umezungukwa na computer nne hapo unacheza na ID tofauti tofauti kucomment ujinga wa CCM!
Mkuu wala usihangaike nae huyo, huyo ni ngurunda
 
Maonevu yote hayo wanayofanyiwa wapinzani hujaona hata moja
Zitto Kabwe katoa Number ya Matekani akiandika FICHUA UCHAGUZI dah nimejiuliza Sana Why American Number Hawa Mabwege Ndio wanatakiwa kuwekwa ndani maana in dharau na kushikiza kwa mabeberu uvunjifu Wa amani MAGUFULI SIMAMA IMALA USIYUMBISHWE TULINDE MZEE WETU
 
Back
Top Bottom