Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawashwa?
Zanzibar livesmatter
Heri kufa ukiitafuta haki kuliko kuishi katika mazingira haya.
Hawa MASHETANI WA CCM ni muda muafaka kuanzisha maandamano yasiyo na kikomo ili kuwafurusha madarakani.
Unaweza nielekeza jinsi ya kutumia vpn ku unblock ??Wamei-block, itabidi utumie VPN ndio utaweza ku-access. Pole ndio nchi yetu hii.
Download...mimi ninayoUnaweza nielekeza jinsi ya kutumia vpn ku unblock ??
Unalipia hyo ??Download...mimi ninayo
Download ufo vpn basic install katika simu yako kisha ifungue na u bonyeze palipo andikwa connect kisha baada ya hapo nenda twitter utaona imefungukaDownload...mimi ninayo
Free...Inaitwa ProtovpnUnalipia hyo ??
Kweli Alhaji Mzee mwinyi na umri wa miaka 95 anataka kwenda kaburini na damu ya wazanzibar. Allah Akbar kweli binaadamu wengine ni mashetani wakubwaHussein Mwinyi unataka kuingia Ikulu ya Zanzibar kwa kupandia njia zilizojaa maiti za Wazanzibari?
Magufuli kama Amiri Jeshi mkuu atakapopandishwa kizimbani huko ng'ambo na Kiingereza hajui usiache kwenda kuwa wakili wake mpaka kesi itakapokwisha na kuhukumiwa kunyongwa. Wana CCM akili yenu haioni mbali.Ufe kwa ajili ya kupigania fulani awe mbunge? Huu nao utakuwa umepungukiwa
Kufa kama unapambania familia yako na wazazi wako hiyo utaeleweka
Hivi sio Karume kwa kuwaogopa waarabu ndio Alikuja bara kutaka Muungano?Ili iweje... yeye ndie aliepandisha mbegu hizi! haya yote chanzo ni yeye... kwanini hakuhakikisha katiba ya vyama vingi?
Afufuke afanye nini wakati hizi ndio athari na urithi wa alio ya asisi yeye?!Aiseeeh Mwalimu fufuka hata kwa sekunde moja....
faida gani napata kama binadamu wenzangu wanauliwa bila sababu wananyimwa haki yakuishi.....faida gani napata kama chama kinachohusika kuondoa uhai wa wazanzibar wanarudi kutuangamiza na kudhulumu haki ya kuishi na haki ya kupiga kura na kuchagua kiongozi nimtakae .......tumalizeni wote kama mnaweza patachimbikaSio ubinafisi
Hebu fikiria ni faida gani utapata kupigania mtu awe mbunge, wakati nyumbani kwako umeacha familia haina chakula