Bowie ni wewe ama kuna mtu amehack account yako?Kweli Alhaji Mzee mwinyi na umri wa miaka 95 anataka kwenda kaburini na damu ya wazanzibar. Allah Akbar kweli binaadamu wengine ni mashetani wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bowie ni wewe ama kuna mtu amehack account yako?Kweli Alhaji Mzee mwinyi na umri wa miaka 95 anataka kwenda kaburini na damu ya wazanzibar. Allah Akbar kweli binaadamu wengine ni mashetani wakubwa
Toa akili za Kish...o.....g... Hapa!! Unafurahia watu kuuwawa?? Wewe unapoandika hapo upumbavu unakuwa unapambana ili Mana yako au baba yako awe mbunge au Raise?? Acha kuwa fyatuu. M.fuqMimi nimeridhika na kashamba changu huku kijijini
Eti unakosa amani kwa sababu ya mbunge fulani ashinde... Hell No!
Haijalishi awe wamkurithi au laa cha msingi ni yule unayemuona ana play his/ her big role kama mzazi aswa kukukimu kwa all basic needs and others kama mwanawe wa damu anatosha kuwa mzazi sio lazima awe biological.Una uhakika hao ni wazazi wako? Kama wamekurithi? Kitetee unachokiamini.
Acha kujilizaliza waambie ndugu zako watii sheria bila shurti eboo.Inaniuma sana na natokwa na machozi. Kweli kabisa wanapiga risasi kutua ili wakae madarakani kweli!?
Angalia hasira hasaraNa wamesha ua watu muda huu hakukaliki! Wamewafyatulia risasi! Nina machozi ya hasira.
Waambie wakubali Kura kuibiwa bila shuruti Kama miaka yoteAcha kujilizaliza waambie ndugu zako watii sheria bila shurti eboo.
Wewe ni lijinga kabisa. Daftari la wapiga kura ACT walipewa na linaonesha mpaka askari/na wengine waliojiandikisha kupiga kura. Je inawezekanaje kuzidi ilihali waliojiandikisha wanajulikana???????Askari mmoja anapiga kura mara 6 au zaidi kwa Mwinyi halafu zinasambazwa kwenye vituo mbalimbali usiku huu.
Uchaguzi wa Zenji umeshaharibika.
Hasira na matusi yanini?Wewe ni lijinga kabisa. Daftari la wapiga kura ACT walipewa na linaonesha mpaka askari/na wengine waliojiandikisha kupiga kura. Je inawezekanaje kuzidi ilihali waliojiandikisha wanajulikana???????
Maalim yeye kauchapa usingizi na Ana watoto wakubwa Wala hawaendi kupambania baba yao wako uingereza wanakula Bata acha hao mashujaa waendelee kufa.Wamekufa kishujaa na daima watakumbukwa. Wapumzike kwa amani.
Tunawaombea sanaHatuwezi kuweka video hali mbaya pemba lkn wananchi wanalinda vituo
Mkuu sipendi kuona tone la damu ya mtanzania inamwagia.Bowie ni wewe ama kuna mtu amehack account yako?
Dunia ingekuwa na akili kama zako sijui tungekuwa wapi aiseeeMaalim yeye kauchapa usingizi na Ana watoto wakubwa Wala hawaendi kupambania baba yao wako uingereza wanakula Bata acha hao mashujaa waendelee kufa.
Saga chupa unywe,jogoo awike au asiwike rais no jpm na ninyi ovaNina hasira sana! Sidhani kama nimewahi kupatwa na hasira kama usiku huu... Nina hasira sana!
NdiyoHussein Mwinyi unataka kuingia Ikulu ya Zanzibar kwa kupandia njia zilizojaa maiti za Wazanzibari?
Humu JF wakati mwingine alo. Mie niko mjini magharibi mbona hakuna hizo habariAskari mmoja anapiga kura mara 6 au zaidi kwa Mwinyi halafu zinasambazwa kwenye vituo mbalimbali usiku huu.
Uchaguzi wa Zenji umeshaharibika.