Kwa kuwa ni ruo atakuwa anajua tuSiro anajua Kiingereza kweli? [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa ni ruo atakuwa anajua tuSiro anajua Kiingereza kweli? [emoji1787]
Lazima na ilikuwa ni lazima wamtafute kamanda Sirro. Kazi iliyofanyika pale MKIRU ilikuwa sio ya kitoto. Na baada tu ya zoezi kumalizika, Sirro akasema wengine wamekimbilia Msumbiji. Baada ya mwaka mmoja kupita, dunia ilikuja kugundua ni kweli jamaa wanafanya yao Msumbiji na mpaka sasa Msumbiji imeomba msaada kutoka nchi nyingine kupambana na vijana wanaodhani walizaliwa kuja kuwaua watu.Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Tanzania IGP Simon Nyakoro Sirro leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini David Concar.
Wawili hao walikutana ofisini kwa IGP Sirro na walibadilishana uzoefu kwenye masuala mbalimbali ya kiusalama
View attachment 1762392
View attachment 1762393
View attachment 1762394