Uchaguzi 2020 Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua

Wanawazuia wasiingie na simu zao ili iwe rahisi kwao kuiba kura. Na ndio maana wamezuia watu kukaa hatua 200 baada ya kupiga kura kwa kuwa wanafahamu mawakala wanaweza kuziacha simu kwa ndugu zao hatua 200 na kisha kuzitumia kufikisha ujumbe kwa viongozi wao endapo wataona uovu wowote unafanyika ndani ya kituo cha kupigia kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…