Uchaguzi 2020 Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua

Uchaguzi 2020 Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua

SUALA LA SIMU KWA MAWAKALA: TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MSIHARIBU UCHAGUZI WA WATANZANIA!

Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua hata sisi viongozi wa Kanisa! Simu ina mambo mengi sana katika ulimwengu wa sasa ikiwemo kutunza kumbukumbu kwa njia mbalimbali.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi haiwezi kuwafanya mawakala kama 'tabula rasa' yaani watu wasioweza kuhifadhi kumbukumbu yo yote na hata kushindwa kuwasiliana. Mawakala wakiwa na simu wanaweza kupiga picha matokeo halisi ili kudhibiti wizi wa kura! Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuzuia Mawakala kuingia na simu katika chumba cha kupigia kura ni sawa na kuandaa usiri utakaopelekea mazingira ya kuibiwa au kuchakachuliwa kwa kura!

Tunaitahadharisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuacha kutoa maelekezo au kutunga kanuni kwa lengo la kufanya Matokeo ya Uchaguzi Mkuu yasiheshimike na wananchi! Ili kuleta afya ni vizuri maelekezo na kanuni za Tume zikubaliwe na vyama vyote. Tume iepuke kutoa kanuni na maelekezo katika kipindi hiki kwa lengo la kuubeba upande mmoja na kuunyonga upande mwingine!

Sisi tumekwisha kutimiza wajibu wetu (Ezekieli 33:1-20).

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani
Sasa unataka waingie na simu wapige picha waanze kutuma matokeo wakati sio kazi yao unaona kabisa ndio wanakuwaga chanzo cha migogoro.. BiG UP NEC na wachunguzwe hata saa za mkononi zinakua na camera wasiingie nazo watatuletea shida
 
Sasa Askofu kila mtu akipiga picha, then tuanze kutafuta picha ya nani ndio sahihi? Tume ina lengo zuri kwamba taarifa za matokeo ziwe na channel moja, sio kila mtu na matokeo yake itakuja kuleta taharuki na hatimae vurugu.Endelea kuchunga kondoo wa Bwana mambo mengine haya kuhusu. Usichanganye siasa na dini
Acha kuweweseka, awamu hii hakuna wizi wa kura
 
Sasa simu kituoni za kazi gani? Sio lazima kupinga kila kitu. Kama uchaguzi mnashinda mtashinda na kama mnashindwa mtashindwa hata mkiingia na computer [emoji985] maana wananchi ndio wanaamua. Msilazimishe kuonekana kwamba mnaonewa kwenye kila jambo. Wakati kiukweli inaonekana upinzani maji yapo kidevuni.
 
Wamelenga kuiba kura

Sheria zinazoongezwa hizi katikati ya mechi hazina nia njema.

Sasa hivi ni muda wa mechi taratibu, kanuni na sheria mpya si muda wake.

Sheria, kanuni na taratibu mpya mpya zote hizi hazikubaliki. Sote wenye nia njema ya kuwa na uchaguzi ulio huru na wa haki tuungane kukemea na kuyakataa haya kwa nguvu zetu zote.

Aluta continua!
 
Sasa simu kituoni za kazi gani? Sio lazima kupinga kila kitu. Kama uchaguzi mnashinda mtashinda na kama mnashindwa mtashindwa hata mkiingia na computer [emoji985] maana wananchi ndio wanaamua. Msilazimishe kuonekana kwamba mnaonewa kwenye kila jambo. Wakati kiukweli inaonekana upinzani maji yapo kidevuni.

Kama simu hazina madhara kwa nini tushindanie suala la simu?

Ninyi simu zinawakera nini?

Sheria inayozuia simu iko wapi au ndiyo hizi mpya mpya kila mkiamka mna jipya?
 
Sasa Askofu kila mtu akipiga picha, then tuanze kutafuta picha ya nani ndio sahihi? Tume ina lengo zuri kwamba taarifa za matokeo ziwe na channel moja, sio kila mtu na matokeo yake itakuja kuleta taharuki na hatimae vurugu.Endelea kuchunga kondoo wa Bwana mambo mengine haya kuhusu. Usichanganye siasa na dini

Hatuaimini tume maana ni moja ya taasisi zinazotumika kuharibu uchaguzi na wizi wa kura.
 
Hawa maaskofu wengine wa aina hii sijui wanapatikana kwa vigezo gani imagine huyo anayesema hayo ni askofu anaetegemea kuongoza kondoo zake katika njia ya kwenda mbinguni sijui anawaza nini manake kwenye kituo Kuna mawakala na hata wagombea wanaweza kuwepo Sasa suala la. Kusema mawakala wapige picha matokea sijui haoni impact yake badae kuwa kila wakala anaweza kuwa na version yake ya kura kwa kweli viongozi wetu wa dini kuweni makini kwa dhamana mlio nayo ni kubwa Sana msitake sasa waumini tuanze kugawanyika kwa kuonyesha dhahiri mna ushabiki wa kisiasa ni vyema mkahubiri amani na kuombea uchaguzi uishe salama msiwe vyanzo vya vurugu manake hata nyie mtakua wahanga
Utetezi dhaifu, kila wakala awe na matokeo kutoka kwenye fomu gani za matokeo? Mnataka kuleta matokeo ya wizi?
 
SUALA LA SIMU KWA MAWAKALA: TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MSIHARIBU UCHAGUZI WA WATANZANIA!

Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua hata sisi viongozi wa Kanisa! Simu ina mambo mengi sana katika ulimwengu wa sasa ikiwemo kutunza kumbukumbu kwa njia mbalimbali.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi haiwezi kuwafanya mawakala kama 'tabula rasa' yaani watu wasioweza kuhifadhi kumbukumbu yo yote na hata kushindwa kuwasiliana. Mawakala wakiwa na simu wanaweza kupiga picha matokeo halisi ili kudhibiti wizi wa kura! Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuzuia Mawakala kuingia na simu katika chumba cha kupigia kura ni sawa na kuandaa usiri utakaopelekea mazingira ya kuibiwa au kuchakachuliwa kwa kura!

Tunaitahadharisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuacha kutoa maelekezo au kutunga kanuni kwa lengo la kufanya Matokeo ya Uchaguzi Mkuu yasiheshimike na wananchi! Ili kuleta afya ni vizuri maelekezo na kanuni za Tume zikubaliwe na vyama vyote. Tume iepuke kutoa kanuni na maelekezo katika kipindi hiki kwa lengo la kuubeba upande mmoja na kuunyonga upande mwingine!

Sisi tumekwisha kutimiza wajibu wetu (Ezekieli 33:1-20).

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani
Hoja Hafifu kabisa..
Mawakala tayari wameaminika na Vyama vyao na sidhani kama kuna uhitaji wa kua na simu kwenye vituo na sidhani kama sheria inaelekeza kufanya hivyo.
 
Hawa maaskofu wengine wa aina hii sijui wanapatikana kwa vigezo gani imagine huyo anayesema hayo ni askofu anaetegemea kuongoza kondoo zake katika njia ya kwenda mbinguni sijui anawaza nini manake kwenye kituo Kuna mawakala na hata wagombea wanaweza kuwepo Sasa suala la. Kusema mawakala wapige picha matokea sijui haoni impact yake badae kuwa kila wakala anaweza kuwa na version yake ya kura kwa kweli viongozi wetu wa dini kuweni makini kwa dhamana mlio nayo ni kubwa Sana msitake sasa waumini tuanze kugawanyika kwa kuonyesha dhahiri mna ushabiki wa kisiasa ni vyema mkahubiri amani na kuombea uchaguzi uishe salama msiwe vyanzo vya vurugu manake hata nyie mtakua wahanga
Brother hebu nielimishe kidogo. Kama kuna document imeandikwa "CCM ni chama tawala." Wewe ukatumia simu yako kuipiga picha na mimi ninatumia simu yangu kupiga picha document HIYOHIYO unataka kusema kuna uwezekano wa picha moja itaonyesha CCM Ni chama tawala na nyingine inaweza kuonyesha CHADEMA ni chama tawala? Au unataka kusema je? Nitwange shule kidogo nieleweke ndugu yangu!
 
Hawa maaskofu wengine wa aina hii sijui wanapatikana kwa vigezo gani imagine huyo anayesema hayo ni askofu anaetegemea kuongoza kondoo zake katika njia ya kwenda mbinguni sijui anawaza nini manake kwenye kituo Kuna mawakala na hata wagombea wanaweza kuwepo Sasa suala la. Kusema mawakala wapige picha matokea sijui haoni impact yake badae kuwa kila wakala anaweza kuwa na version yake ya kura kwa kweli viongozi wetu wa dini kuweni makini kwa dhamana mlio nayo ni kubwa Sana msitake sasa waumini tuanze kugawanyika kwa kuonyesha dhahiri mna ushabiki wa kisiasa ni vyema mkahubiri amani na kuombea uchaguzi uishe salama msiwe vyanzo vya vurugu manake hata nyie mtakua wahanga
Mkuu penda kufikirisha ubongo otherwise kichwa kinaweza kuwa mzigo usiyo na maana kwa miguu,NEC inasema mawakala siyo lazima kupewa nakala za matokeo na wakati huohuo inakataza simu kuhifadhi matokeo,Si ndo upuuz huu
 
SUALA LA SIMU KWA MAWAKALA: TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MSIHARIBU UCHAGUZI WA WATANZANIA!

Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua hata sisi viongozi wa Kanisa! Simu ina mambo mengi sana katika ulimwengu wa sasa ikiwemo kutunza kumbukumbu kwa njia mbalimbali.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi haiwezi kuwafanya mawakala kama 'tabula rasa' yaani watu wasioweza kuhifadhi kumbukumbu yo yote na hata kushindwa kuwasiliana. Mawakala wakiwa na simu wanaweza kupiga picha matokeo halisi ili kudhibiti wizi wa kura! Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuzuia Mawakala kuingia na simu katika chumba cha kupigia kura ni sawa na kuandaa usiri utakaopelekea mazingira ya kuibiwa au kuchakachuliwa kwa kura!

Tunaitahadharisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuacha kutoa maelekezo au kutunga kanuni kwa lengo la kufanya Matokeo ya Uchaguzi Mkuu yasiheshimike na wananchi! Ili kuleta afya ni vizuri maelekezo na kanuni za Tume zikubaliwe na vyama vyote. Tume iepuke kutoa kanuni na maelekezo katika kipindi hiki kwa lengo la kuubeba upande mmoja na kuunyonga upande mwingine!

Sisi tumekwisha kutimiza wajibu wetu (Ezekieli 33:1-20).

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki na Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Duniani
Penye dhambi ni mahala palipo na giza na usiri mkubwa. Wanazuia simu ili wapate mwanya wa kuchezea matokeo.
 
Sasa simu kituoni za kazi gani? Sio lazima kupinga kila kitu. Kama uchaguzi mnashinda mtashinda na kama mnashindwa mtashindwa hata mkiingia na computer [emoji985] maana wananchi ndio wanaamua. Msilazimishe kuonekana kwamba mnaonewa kwenye kila jambo. Wakati kiukweli inaonekana upinzani maji yapo kidevuni.
😀 😀 😀 😀 Juakalee matokea hutangazwa na tume tu sio mpiga kuraa..na safari hii hata fomu za matokeo hawatapewa maana ni za tume sio wakala..😛😛😛..hizo ni kanuni za TUME yetu kwa uchaguzi huu tuu. Hapa CCM tusiposhinda walahhaa tutakuwa wajinga..
 
Sasa unataka waingie na simu wapige picha waanze kutuma matokeo wakati sio kazi yao unaona kabisa ndio wanakuwaga chanzo cha migogoro.. BiG UP NEC na wachunguzwe hata saa za mkononi zinakua na camera wasiingie nazo watatuletea shida
Mgogoro unatoka wapi wakati matokeo yanahesabiwa na kurekodiwa na mawakala wote. Tume isisahau tumeonyeshwa uchaguzi huru na wa wazi kabisa (mbashara) na chaguzi za ndani za vyama CCM na Chadema , huu usiri wa TUME faida yake nini? . Chaguzi za ndani za vyama zimeonywashwa mbashara nyie mnaficha nini? Mnajitafutia lawama isiyo na sababu. Njia pekee ya TUME kujivua lawama ni kuweka mambo hadharani . HATUJASIKIA MGOMBEA HATA MMOJA AKIMLAUMU MSIMAMIZI WA UCHAGUZI katika chaguzi za ndani za vyama , lawama zote zimenda kwa WAJUMBE. TUME jivueni lawama , Lawama ziende kwa wapiga kura.
 
Back
Top Bottom