Taarifa kwa Mawakili Wasomi wote

Taarifa kwa Mawakili Wasomi wote

"I would urge you to make no fuss about nothing"

Huyu naye ni mmoja wa hao "learned lawyers"? Mashauzi kibao kuhusu logic wakati hajui "to make no fuss about nothing" is not only colloquial language not up to the highfalutin standards these jokers bestow on themselves, it is also illogical in context here.

Tehe, tehe, tehe, tehe.

Nae ni wakili msomi
 
Asante sana kwa taarifa wakili msomi mwenzangu ngoja nichangamkie malipo

Mwanzo mwanzoni,natoa taarifa hii si kama Kiongozi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika,yaani TLS. Natoa taarifa hii kama Wakili Msomi wa kawaida sana ambaye ningefurahi kuona Mawakili Wasomi wenzangu wote wanaipata taarifa hii popote walipo. Nimeipata taarifa hii katika Ofisi za chama chetu.

Kwanza, Mawakili Wasomi wote waliokubaliwa na kusajiliwa tarehe 6/12/2013,wafike Ofisi za TLS kuchukua vitambulisho vyao. Kwakuwa viko tayari.

Pili, kwa Mawakili Wasomi wa miaka mingine, malipo ya kila mwaka ya ada za kiuwakili yanaendelea na yanakaribia mwisho. Kwa taarifa nilizonazo,mwisho ni tarehe 1/2/2014. Malipo haya,kama ijulikakavyo, huwezesha mambo mawili.Mosi, kupatiwa cheti cha kuendesha shughuli za kiwakili kwa mwaka husika,yaani 2014 ( Practising Certificate). Pia, huwezesha kupatikana kwa vitambulisho vya kiwakili.

Malipo haya huzingatia alama za kiwakili ambazo hupatikana katika Semina,Mikutano na kadhalika ifanyikayo kwa mwaka mzima. Alama zinazowezesha Wakili Msomi kupatiwa cheti na kitambulisho ni 10 na kuendelea.Kwa wale walizonazo,walipe ada zao na kufuata taratibu nyinginezo zipasazo. Kwa wasiofikisha alama 10, wanapaswa kuandika barua ya kuelezea kwanini hawakufikisha alama husika na tena kuahidi kuzilipia mwaka huu.

Aipataye tarifa hii,amwarifu na mwingine

Aione: Ruttashobolwa, 'The Choosen' John Mnaku B. Mhozya, MsandoAlberto, VUTA-NKUVUTE na wengineo
 
Binafsi sioni tatizo hapo coz kama hupendi kuwaita wasomi haulazimishwi..with ur degree or whatever profession u have u can choose how u want to be identified..ever questioned the difference between a teacher and a proffessor ()
 
Acheni wivu wa kike...na nyie nendeni law schooL MUITWE MAWAKILI WASOMI.,
 
Shule ya Uwakili, wizi Mtpu. Hebu waone Kampuni ya Iman, Mkono, Mama Majari (ex Balozi) na watu kama Chenge nk.

Labda tu ningelimuelewa Petro E. Mselewa kama angelisema kuwa neno MSOMI ni Term wanayoitumia wao ikiwa na maana nyingine kabisa na neno usomi. Labda ni katika kutofautisha wale walioteuliwa na JK ili hali hata Unniversity hawajaenda (kuvunja katiba kabisaa ya nchi) na wale waliofuata sheria na mwisho wakawa Mawakili wa ukweli.
Nyani Ngabu , mie siyo Mhandisi Mami, nilikimbia Umande na kuishia Fundo Mchundo....
Acheni wivu wa kike...na nyie nendeni law schooL MUITWE MAWAKILI WASOMI.,
 
Last edited by a moderator:
Shule ya Uwakili, wizi Mtpu. Hebu waone Kampuni ya Iman, Mkono, Mama Majari (ex Balozi) na watu kama Chenge nk.

Labda tu ningelimuelewa Petro E. Mselewa kama angelisema kuwa neno MSOMI ni Term wanayoitumia wao ikiwa na maana nyingine kabisa na neno usomi. Labda ni katika kutofautisha wale walioteuliwa na JK ili hali hata Unniversity hawajaenda (kuvunja katiba kabisaa ya nchi) na wale waliofuata sheria na mwisho wakawa Mawakili wa ukweli.
Nyani Ngabu , mie siyo Mhandisi Mami, nilikimbia Umande na kuishia Fundo Mchundo....

Fundi Mchundo Msomi;

Mchundo ime-cover material mengi ya first degree.
 
Mkuu Nyani Ngabu,usichukie.Huo ni msamiati wa kawaida kama ilivyo mingine. Kutuita wapuuzi hakutakusaidia kitu. Ukipenda kuitwa hivyo nawe kasome sheria na uwe Wakili Msomi ha ha ha ha ha

Wakili msomi maana yake ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Yaani we acha tu.

Eti wakili msomi. Wamesoma nini hao ambacho wengine hawajasoma?

Mami na wewe kwa nini usijiite mhandisi wa ukwee aliyesomea majuu?:biggrin1:

nilikuwa na kiu ya kuona komenti yako
 
Back
Top Bottom