Maana yake hata km una Kesi fake, au umebaka kabint ka miaka 10wakili msomi maana yake nini?
hahahaKiu kimeisha sasa?
hahahhahah! mbeba mabox msomi, fundi mchundo msomi,mwalimu msomi,kibaka msomi,aaaagggggh
Binafsi sioni tatizo hapo coz kama hupendi kuwaita wasomi haulazimishwi..with ur degree or whatever profession u have u can choose how u want to be identified..ever questioned the difference between a teacher and a proffessor ()
Alaaa basi we ni Fundi Mchundo msomi.
Alaaa basi we ni Fundi Mchundo msomi.
Haswaaa, tena yule Zege Halilali Msomi. Mbona wewe hujiiti Mbeba Box Msomi?
Mchundo ulipandishia wapi?
Kwa kaka Richard Masika,yaani TCA - ARUSHA. Ila enzi hizo, yeye anapigwa snow ya Hungury tayari.
Naam, bado hamna usomi wowote kuwazidi wengine. Acheni kulazimisha.
wakili msomi" ni neno linalotumiwa sio kwa tz tu bali dunia nzima, hiyo ni lugha wanayoijua wanasheria tu (learned brother/learned sister)....watu wengi wanafikiri kuitwa hivyo ni kufanya maringo...hapana.Du, Wakili Msomi imenimaliza nguvu. Wasiosoma wanajiita Ma-Profesa Maji Marefu na wasomi wanajiita WASOMI. Sijui kujiamini kumepotelea wapi? Mwisho tutaona watu wanatembea na Tatuu usoni, MIE Ni Dr wa Ukweli (PhD).
Mwigulu na yeye anajiita Mchumi wa Daraja la Kwanza.... teteteeeee.......
hiyo ni lugha ya field ya sheria mzee, dunia nzima iko hivyo, hata ukienda marekani au australia au popote pale, mwanasheria humwita mwanasheria mwenzie "wakili msomi"....acha umbumbumbu, sio kwamba wanaringa, kila field ina lugha zake.Kumbe kuna Mawakili wasio wasomi.
Watanzania tunahitajika kuelimika ili kuweza kubadilika kifikra na kuweza kuwa sehemu ya jamii badala ya kujitenga na kujiona kuwa na umuhimu tofauti na wengine.
Ni ushauri tu.