Taarifa kwa Mawakili Wasomi wote

Haya mdugu msomi wakili mwanasheria. Na kamwe huwezi pata hela zangu wewe kwa sababu sidhani kuna unaloweza ambalo mi siliwezi na sidhani kuna unalolijua ambalo mi silijui, katika sheria, ni wazi.

Wewe jamaa unajisikia sana, unadharau pia.
Nimesoma mabandiko mengi sana,uchangiaji wako ni wa kimajigambo majigambo, unajifanya unajua kila kitu.

Umeambiwa hiyo ni Lugha ya Wanasheria,bandiko lipo jukwaa la sheria.
Lakini umekomaa na Kejeli zako,jirekebishe bwana.
 
haya mdugu msomi wakili mwanasheria. Na kamwe huwezi pata hela zangu wewe kwa sababu sidhani kuna unaloweza ambalo mi siliwezi na sidhani kuna unalolijua ambalo mi silijui, katika sheria, ni wazi.

acha dharau.
 

 
Mkuu, hii habari ililetwa hapa JF. Hii ikiwa na maana hata sisi pia tungeliweza kusoma na kuwajulisha ndugu zetu kama ni Mawakili. Hivyo basi hili kutokea ilikuwa ni lazima. Huwezi kuandika hapa lugha unayoongea na Mkeo chumbani na kuiweka hapa na udai, huu ulikuwa ujumbe wa Mke wangu tu au Mume wangu tu.

Hivi hawa Mawakili, wameshindwa kutengeneza magroup yao kama Yahoo au Google na waweze kuwasiliana wenyewe kwa wenyewe direct na huko watumie lugha zao za kuitana Wasomi? Hii ndiyo inatupa wengine wasiwasi wa wao kulitumia vibaya neno WASOMI wakati huo usomi wenyewe unaleta walakini. Na hapo ndipo mtu kama KILANGA au Nyani Ngabu wanakuangukieni kwa lugha kali.

Fungueni magroup yenu huko pembeni na mtawasiliana kwa lugha zenu. Mkija hapa, basi mje kwa lugha ya TAIFA.
 
Last edited by a moderator:
Kuna vijamaa fulan ni vi advocate,vikiwa vinaongea ni full mashauz eti mpaka vinaitana mheshimiwa. Hela zenyewe havina. Vikiona mtu ana hela eti ni fisadi. Kwa sababu havina hela vinajidai eti vi activists. To be honest naipenda sheria,lakini nachukia jinsi wanasheria wa kitanzania wanavyoweka mipaka na dharau kwa hao wanaowaita laymen. Wakat kila siku maamuz ya kesi zao yanafanyikia bar!
 
wamekulowanisha sana.
Pole sana
 
Lord atkin,lord jennings,learned judge,learned state attorney,learned advocate,learned state attorney,learned counsel
 
Hii ni kwa msaada wa 'laymen' wote...mtanisamehe ma lawyer ndo hua tunawaitaga watu wasio lawyer hivyo..anaposema wakili msomi ni translation tu ya vile jinsi wazee wa noble profession tunavyoitana kwa hiyo jamaa ametafsiri neno learned brother, learned friend...etc etc..kama wabisha pitia pitia kesi kadhaa zilizokua reported utaona tu sema shida inakuja kiswahaili hakina maneno mengi ndo mana ikawa hiyo wakili msomi..kama imekukera ipotezee...kama imekuelimisha..barida...Res Ipsa Loquiter..!!!
 

Kuiga iga tu hamna lolote.
 

Acha swagger za kilooser mkuu, haya mambo yametoka kwenye utawala wa uingereza ndo mana kuna vitu kama hivyo vya learned, learned..wamarekani wamarekani waingereza wako very proud ndo wametuambukiza sisi huku..
 
Acha swagger za kilooser mkuu, haya mambo yametoka kwenye utawala wa uingereza ndo mana kuna vitu kama hivyo vya learned, learned..wamarekani wamarekani waingereza wako very proud ndo wametuambukiza sisi huku..

Siyo kwamba wamewaambukiza. Ni kwamba nyie ni wapumbavu wa mwisho kabisa msio na ubunifu wowote ule.

Kuiga iga tu ndo mnachoweza. Zaidi ya hapo hamna usomi wowote ule. Mmeiga hadi kuvaa mijoho ya ajabu ajabu halafu bado mnaleta nyodo za ubabu kubwa? Kwendeni zenu huko.
 
Wapi nimepaniki?

Nilichosema ni ukweli mtupu. Mnaiga iga tu. Si lugha, si mavazi.

Sasa mkuu kwenye kuiga ndo umeenda OP..maaana haiwezekani ukavaa jinsi mahakamani, lazima uwe msafi, au umkute engineer yuko field kavaa suti itakua ni ajabu so kila kitu ni kuiga tu mbona waliokua assimilated huko west africa or whatever that happened walikua wanajichukulia either kama wafaransa, wabeligiji au portuguese...take a seat brother...!!
 

Hahahaha sasa huko marekani wao ndo wanavaa jinsi mahakamani kuonesha kwamba wao ni wabunifu?? Au wamebadilisha nini sana sana cha ajabu...tatizo u-layman unakusumbua tuu mkuu...!!
 

Wenzenu wanaigaga kidogo kidogo na kuongeza vionjo vyao. Sasa nyie mijoho ile ya nini na joto lote hilo? Au ile midubwana wanayovaa majaji kichwani.....kwanza mi nini ile? Mi wigi?

Hamna usomi wowote ule. Sana sana mnachoonyesha ni yale mambo ya monkey see monkey do:bump2::bump2::bump2:

 
Hahahaha sasa huko marekani wao ndo wanavaa jinsi mahakamani kuonesha kwamba wao ni wabunifu?? Au wamebadilisha nini sana sana cha ajabu...tatizo u-layman unakusumbua tuu mkuu...!!

Sawa, uleimani unanisumbua. Lakini pamoja na uleimani wangu najua kwamba hamna hadhi yoyote ile ya usomi na kidigrii kimoja tu.
 

Yeah kesi zote nilizosoma zimetumia lugha hii ya maneno kama learned brother,learned advocate,learned judge,kesi zote zimetumia lugha hii za tanzania na popote pale duniani tatizo lipo wapi majaji kama kina MFALILA,J,MAPIGANO,J,LUGAKINGIRA,J,MCHOME,J,LUBUVA,J,kuitwa learned judges? yeah wanastahili maana kuwa judge sio rahisi kama unavyodhani shahada ya kwanza ya sheria,uwe wakili,uwe umewahi kuwa hakimu kwa miaka 10 ,na pia advocate ni msomi sana mnaijua law school of tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…