Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Najua kuna umuhimu mkubwa sana wa kulinda simu kwa password sio kwa WEZI tu ila kulinda data zangu pia.
Ila niwape taarifa wezi wote wa simu kwamba, mkiiba simu yangu hamtapata shida ya kwenda kuflash wala nini.
Mniibie tu
NINA UHAKIKA MKIIBA NITAIPATA TU TENA NIKIWA NIME RELAX.. UKIILETA NAIKATAA KWANZA KUBABAKE😎😎😎
Atakaeuziwa hii simu ama atakaeiiba na kuitumia private, atakutana na kitu kizito sana famikia yake haitokaa isahau.
Ila niwape taarifa wezi wote wa simu kwamba, mkiiba simu yangu hamtapata shida ya kwenda kuflash wala nini.
Mniibie tu
NINA UHAKIKA MKIIBA NITAIPATA TU TENA NIKIWA NIME RELAX.. UKIILETA NAIKATAA KWANZA KUBABAKE😎😎😎
Atakaeuziwa hii simu ama atakaeiiba na kuitumia private, atakutana na kitu kizito sana famikia yake haitokaa isahau.