Leo kuanzia saa nne asubuhi Katibu Mkuu wa CCM ndugu Bashiru ali atakuwa na kikao cha kazi na balozi wa China nchini Tanzania ndugu Wang Ke
Katika chuo cha uongozi cha Mwalimu Nyerere kibaha Pwani
Watakuwa mubashara kupitia TBC na channel ten
Marafiki wa kweli wanakutana